Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 14,944
- 33,476
Mzee alafu ni jamaa yangu nikimkatia anajua kabisa nacheza gemu anamind kinomaa ila uliza kama kuna cha maana alichoongea🤣🤣🤣zaidi ya kuniuliza upo wap😃😃Wawekee ratiba status ili wajue kuna muda unakuwa busy na kazi(eFootball) 😂