eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wawekee ratiba status ili wajue kuna muda unakuwa busy na kazi(eFootball) 😂
Mzee alafu ni jamaa yangu nikimkatia anajua kabisa nacheza gemu anamind kinomaa ila uliza kama kuna cha maana alichoongea🤣🤣🤣zaidi ya kuniuliza upo wap😃😃
 
Kwa Adriano 😃😃😃

Kule kwa Pedri yule kocha wa LB sina akili ya kumpita leo 🤣🤣🤣
Jana nipo nacheza event ya PvP nimekutana na mwamba ni mbele mbele yao, hataki uchafu nyuma 😂

Nilikuwa nacheka tu maana mwenzie nilikuwa training ya LBC, ila uzuri hakukimbia nikampiga goli 3 kwa 0 😂
 
Back
Top Bottom