Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Ai itakuja ikuueNipe chap mkuu, ChatGpt amenipa ratiba ya mazoezi kwahiyo nataka niingie training kabla hakujakucha 😂
Ai itakuja ikuueNipe chap mkuu, ChatGpt amenipa ratiba ya mazoezi kwahiyo nataka niingie training kabla hakujakucha 😂
Aweee😃😃😃nipo busy mno na game hata muda huo sina nishapigwa kibuti mapema tuu😃😃Nikajua ndo tayari kichwa umelaza kwenye mapaja 😂
Poa mkuu ila kwangu imegoma nahisi ni kwa sababu ya kocha.Ai itakuja ikuueView attachment 3409475
Oya mida bhana tusiwafanyie fujo wanaopenzika muda huu 😂Aweee😃😃😃nipo busy mno na game hata muda huo sina nishapigwa kibuti mapema tuu😃😃
Amegoma kufika mia??Poa mkuu ila kwangu imegoma nahisi ni kwa sababh ya kocha.
Aina nomaOya mida bhana tusiwafanyie fujo wanaopenzika muda huu 😂
Speed kufika 88.Amegoma kufika mia??
Amna ukishaweka pale kwenye Progression point itasoma 85 ukija kwenye game plan huku ndo itasoma 88Speed kufika 88.
Hazisogei hizo progression, muhimu nimepata destroyer meingine.Amna ukishaweka pale kwenye Progression point itasoma 85 ukija kwenye game plan huku ndo itasoma 88
Hanifai nina Dayot 😂Razorblade kijana mtafuta madestoyer😃😃😃nikutajie mwingine alipo pale kwa akina Kimmich wa Nominating Contract... joao Palinha ni namba 6 alafu Destroyer 😃😃sema anafika 98 ila ni mrefu kwel kwel
Pia ile card ya kimmich pale ni nzuri kaka usiiache😃😃ijaribu siku moja na Anchorman wako Rodri utakuja kuniambia😃😃
Sawaaa😃😃😃Hazisogei hizo progression, muhimu nimepata destroyer meingine.
Ile card ya kimmich wa German mzee achana na hiyo ya capten kubas😃😃😃Hanifai nina Dayot 😂
Kimmich niliyenae anatosha na yupo reserve huko 😂
Sitaki kujaza kikosi kwa vitu visivyoeleweka 😂Ile card ya kimmich wa German mzee achana na hiyo ya capten kubas😃😃😃
Alafu huyo Joao Palinha wa pale ni namba sita (DMF)
Mchukue😃😃then utafanya Fusion ya Kimmich wa capten kubasi😃😃Sitaki kujaza kikosi kwa vitu visivyoeleweka 😂
Sema konami wajanja sana sasa kumuweka Akanji kule kwenye match pass ndo maana yake nini? 😂
Hayo ya fusion sielewagi aisee.Mchukue😃😃then utafanya Fusion ya Kimmich wa capten kubasi😃😃
Ndo ujaribu sasaHayo ya fusion sielewagi aisee.
Ndo inasaidia nini kwanza?Ndo ujaribu sasa
Badala ya kumfanyia mchezaji level training unahamisha zile progression point za training pamoja na skills kama ulimtrain kwa mchezaji mpya alafu huyo wa Zaman anakuwa releasedNdo inasaidia nini kwanza?
Nishaijua, hii si ndo ile aliyetuelekeza NEGAN kipindi kile?Badala ya kumfanyia mchezaji level training unahamisha zile progression point za training pamoja na skills kama ulimtrain kwa mchezaji mpya alafu huyo wa Zaman anakuwa released
Kufanya unachagua mchezaji unayetaka apokeee(Mpya) then unabonyeza fusion watakuletea list ya wachezaji unachagua yule anayetaka kutoka