Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,157
- 10,399
Sasa kwani kwenye team unataka uweke viungo wakabaji wangapi mkuu, wawili hawatoshi?Kwa nature yao sio wale wa kazi kazi kukaba😃😃ni viungo mnyumbuliko
Sasa kwani kwenye team unataka uweke viungo wakabaji wangapi mkuu, wawili hawatoshi?Kwa nature yao sio wale wa kazi kazi kukaba😃😃ni viungo mnyumbuliko
Hongera, Pole 😂Mission accomplished 😃
Siku 4 za mateso ya AI zimafika mwishj sasa nifanye vitu vya maana. Kuanzia leo sichezi tena na AI😃View attachment 3406302
Wamekupa loss 20😃😃😃kwel ni matesoMission accomplished 😃
Siku 4 za mateso ya AI zimafika mwishj sasa nifanye vitu vya maana. Kuanzia leo sichezi tena na AI😃View attachment 3406302
Wanatosha wawili unataka kuongeza kiungo mnyumbuliko mwingine 😃Sasa kwani kwenye team unataka uweke viungo wakabaji wangapi mkuu, wawili hawatoshi?
Ni hatari mkuu😀Hongera, Pole 😂
Nili stuck kwenye 1750 😀Wamekupa loss 20😃😃😃kwel ni mateso
Me moto wa div 3 ulinikimbiza sijalud tenaNili stuck kwenye 1750 😀
Ukifika rating 1650 AI wanafanya vitu ambavyo hata Physics yenyewe inashangaa😀. Nimebadili formation zaidi ya mara 7 ila pumzi ilikua ya moto. Back 5 ndio imenivusha.Me moto wa div 3 ulinikimbiza sijalud tena
Huwa nasema hawa Ai huwa ni wafanyakazi wa konami wanabadilishana kucheza na sisi🤣🤣🤣Ukifika rating 1650 AI wanafanya vitu ambavyo hata Physics yenyewe inashangaa😀. Nimebadili formation zaidi ya mara 7 ila pumzi ilikua ya moto. Back 5 ndio imenivusha.
Mimi sijagusa huko kabisa 😂Ni hatari mkuu😀
Matchpass yako ushatumia kuna Akanji pale anafika 100😃😃Nilikuwa napiga hesabu za kuletwa kwa CB(Destroyer) lakini wameleta tena Build up 😡
View attachment 3408641
Card ya Akanji kwangu haipo mkuu, huenda yupo kwenye nchi nyingine.Matchpass yako ushatumia kuna Akanji pale anafika 100😃😃
We ipo kote kwenye matchpass pale sema ndo mia nane😃😃😃kama ulishawai nunua mchezaji kwenye match pass ksma bado atakuwa mia nne..Card ya Akanji kwangu haipo mkuu, huenda yupo kwenye nchi nyingine.
Nilikuwa namtaka sana tu.
Mimi kwa sasa sina Mtu wa kucheza na Owen kwahiyo nitapita naeSidhani kama huu uhuni Konami wataleta, hakuna atakayemuacha Bale(Blitz Curler) 😂
View attachment 3408825
Anhaa! Nilikuwa sijakuelewa bado, nimekuelewa sasa nitapita nae usiku 😂We ipo kote kwenye matchpass pale sema ndo mia nane😃😃😃kama ulishawai nunua mchezaji kwenye match pass ksma bado atakuwa mia nne..
Utaniambia nikupe setting za speed anafika 88
Nenda kwenye mission pale then chagua match pass nadhan ni ya pili
Hakuna mwenye ujasiri wa kumuacha Bale hapo 😂Mimi kwa sasa sina Mtu wa kucheza na Owen kwahiyo nitapita nae
Mchukue na Maigan kabisa 😃😃😃coin zi wanakuludishia kama 180 hivi😃😃Anhaa! Nilikuwa sijakuelewa bado, nimekuelewa sasa nitapita nae usiku 😂
Napita nae na coins zitaendelea kubaki 1000+ 😂
Me hata aje na skils ya Saving simuachi😃😃😃Hakuna mwenye ujasiri wa kumuacha Bale hapo 😂