Mill broh
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 346
- 816
Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?nime achana na dvn asee watu wana tembea na smart assist hatari😹😹
Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?nime achana na dvn asee watu wana tembea na smart assist hatari😹😹
KabisaKama Kuna namna ya kufanya campaign itolewe Division tufanye tuu
Only way ya kupumzika ni kulifuta na upate kitu cha kureplace, Lakini kama lipo kwenye simu sahau, Niulize mimi😅Kabisa
Mimi napumzika kucheza hili game
sasa. Ni kama unacheza na watu wawili.
Dah KONAMI watatuuq😀Only way ya kupumzika ni kulifuta na upate kitu cha kureplace, Lakini kama lipo kwenye simu sahau, Niulize mimi😅
Alibakiza point chache sana angekomaa leo angetoka na Badge ya division 1Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?
Kabisa yan😃😃😃 mtu anafanya dribble kama pro vile kumbe smart assist 😃😃😃Kabisa
Mimi napumzika kucheza hili game
sasa. Ni kama unacheza na watu wawili.
😹jana nime kandwa sana asee nime shuka hadi 1660 saiv ,ilkua napanda hadi 1770 then nashuka tena hadi nikachoka.Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?
😹😹watu wana kimbizana na deadline asee , season ya kesho kutwa tapanda nalo tenaAlibakiza point chache sana angekomaa leo angetoka na Badge ya division 1
Bila kuchoka 😂Ubaya ubwela😃
Huyo mwamba kakimbia hata kipindi cha kwanza hakijaisha, chuma 3 kaona isiwe tabu 😂Hasa akiwa na wachezqji wenye nguvu kubwa kukuzidi
Hapo kwa haraka haraka sio chini ya 300
Ukisikka paah... 😂Hapo kwa haraka haraka sio chini ya 300
Si wenye account yenye gundu tunaendelea tulipoishia
kesho hiyo
View attachment 3399445
Huwa unabahati mkuu unaweza okota hata 10/20 😂
Familiya kabisa 😂😂😂😂 Konami si wajomba