eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ivi Unafungwaje na kikosi ina Etoo ndani na Suarez wa 107 useless kabisa...
Kuna jamas nilikutana nae ana Messi blitz curl nikasema hapa nitakula nyingi nikamuwekea man marking 😂 ila alipata goli 1 huyohuyo Messi.

Mwingine nae ndo nilimuona mjinga yaani dvn halafu anataka kumjaribu Yamal blitz curl nikaona isiwe tabu nikamuekea man markin nae, mechi ikaisha nyau nyau 😂
 
Kuna ndugu yangu nilikuwa nacheza nae game ila namba yake sikuwa nayo, alinipiga game 3 mfululizo.

Nilikuwa nimehotspot kufanya transition kwangu ilikuwa slow ila kwenye game jamaa yuko vizuri.

Moja kati ya mechi mbili za mwisho akaandika jina la team Razorblade mtumie Batistuta, ikabidi nifanyie kazi ujumbe japo hii mechi pia alinifunga ila Batigoal alizama wavuni.

Mechi ya mwisho akabadirisha tena jina akaandika Hii ya mwisho nikaona hii fedheha sasa mechi zote nifungwe 😂

Bahati haikuwa upande wake nikampiga 5-2, Batigoal akipiga 3 peke yake 😂

NB: Smart assist jamaa anajua kuitumia maana nilikuwa nafungwa magoli hadi huruma 😂
 
Kuna ndugu yangu nilikuwa nacheza nae game ila namba yake sikuwa nayo, alinipiga game 3 mfululizo.

Nilikuwa nimehotspot kufanya transition kwangu ilikuwa slow ila kwenye game jamaa yuko vizuri.

Moja kati ya mechi mbili za mwisho akaandika jina la team Razorblade mtumie Batistuta, ikabidi nifanyie kazi ujumbe japo hii mechi pia alinifunga ila Batigoal alizama wavuni.

Mechi ya mwisho akabadirisha tena jina akaandika Hii ya mwisho nikaona hii fedheha sasa mechi zote nifungwe 😂

Bahati haikuwa upande wake nikampiga 5-2, Batigoal akipiga 3 peke yake 😂

NB: Smart assist jamaa anajua kuitumia maana nilikuwa nafungwa magoli hadi huruma 😂
Ila Smart assist inakua ngumu ku intercept maana wewe unakua una kaba kichwa kichwa uku yeye inaenda tu 😹
 
Kuna jamas nilikutana nae ana Messi blitz curl nikasema hapa nitakula nyingi nikamuwekea man marking 😂 ila alipata goli 1 huyohuyo Messi.

Mwingine nae ndo nilimuona mjinga yaani dvn halafu anataka kumjaribu Yamal blitz curl nikaona isiwe tabu nikamuekea man markin nae, mechi ikaisha nyau nyau 😂
What a wastage 😃😃
 
Ila Smart assist inakua ngumu ku intercept maana wewe unakua una kaba kichwa kichwa uku yeye inaenda tu 😹
Mtu anatumia smart assist halafu mie nyuma kuna back 3 na mbele kuna 3 strikers, ilikuwa piga nikupige ila alinizidi kwa sababu ya hostspot na smart assist 😂
 
What a wastage 😃😃
Huyu jamaa wa pili ndo alinitia hasira sana yani yeye akipata mpira tu anampasia Yamal hatakama akiwa katikati atafanya dribling mpaka karibia na box 😂

Kafanya hiyo michezo mwisho nikashindwa kumvumulia nikamuwekea ultra defensive na man marking 😂
 
Huyu jamaa wa pili ndo alinitia hasira sana yani yeye akipata mpira tu anampasia Yamal hatakama akiwa katikati atafanya dribling mpaka karibia na box 😂

Kafanya hiyo michezo mwisho nikashindwa kumvumulia nikamuwekea ultra defensive na man marking 😂
Ultra Defensive na Man marking unataka afungaje sasa😃😃
 
Ultra Defensive na Man marking unataka afungaje sasa😃😃
Jamaa alileta dharau sana sijui kwakuwa aliona kikosi kidogo, ujasiri wa kufanya dribling karibu nusu nzima ya uwanja ni dharau kubwa 😂

Sikusubiri hata half time, majaribio yake akafanyie kwa wengine 😂
 
Jamaa alileta dharau sana sijui kwakuwa aliona kikosi kidogo, ujasiri wa kufanya dribling karibu nusu nzima ya uwanja ni dharau kubwa 😂

Sikusubiri hata half time, majaribio yake akafanyie kwa wengine 😂
🤣🤣🤣🤣 Ulikata unyonge
 
Kumbe kwenye game wameiweka Tanzania na hatuambiani wakuu
Screenshot_20250705_154407_eFootball.jpg
Screenshot_20250705_154503_eFootball.jpg
Screenshot_20250705_154704_eFootball.jpg
 
Back
Top Bottom