eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hichi kikosi
👇
Screenshot_20250704-121443.png


Kimepata ushindi dhidi ya hichi kikosi
👇
Screenshot_20250704-121245.png

Screenshot_20250704-121305.png

Screenshot_20250704-121228.png


Jamaa nilimuwashia smart assist pamoja na ultra defensive halafu likapigwa haram football 😂
 
Kwenye CF cikuona niliona sehemu yangu pendwa tuu ya CB


Nilienda kujaribu tena maana haijawai kubali😃😃😃nikahisi labda wameleta hii
Master Anceloti ukaona mabeki tu 😀

CB wa 4 haikubali. Halafu KONAMI wakigundua umeweka 4 CB na 3CF unakula ban
 
Master Anceloti ukaona mabeki tu 😀

CB wa 4 haikubali. Halafu KONAMI wakigundua umeweka 4 CB na 3CF unakula ban
Mfumo wangu unahitaji striker wawili tuu kuna kipind nilijaribu kucheza na watatu nokashindwa😃😃😃



Sasa mpaka wajue si umekuwa reported😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom