eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Solution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.

Kaa na mali shambulia kwa mipango. Lakini pia press kwa timing kwenye mipira 50/50 tu muda mwingine tumia match up. Usiwape chance kabisa ya kupiga shuti goliniView attachment 3387053.
Mkuu sijui akili yangu inakuwa wapi maana karibia mara zote walizonifunga ni wanafanya comeback.
 
😃😃Sasa me nataka hawa hawa ndo nitatumia

Wachezaji ambao wana speed plus Stamina ya kutosha na physical contact 😃😃
Ila we fala unajua kuvizia kah😃. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter😃. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mbele😃
 
Ila we fala unajua kuvizia kah😃. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter😃. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mnele😃
Na pale nina kocha wa Possession Game Luis Roman sichezi Quick counter kule😃😃😃


Beki nilipata Wan Bissaka ni Defensive 😃😃😃 yule Lorenzo namchezesha CB kule pemben kwahiyo kupanda hapo sio leo
 
Back
Top Bottom