eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Leo saa nne usiku nitakuwa na Darasa la kuwafunga Legends 🤣🤣 Razorblade usikose nitakuwa mubashara muda huo nikupe maujuzi😃😃
Screenshot_20250628-172744.png


Kikosi dakika 90 zote formation moja
Screenshot_20250628-172804.png

Achaneni na coin zangu🤣🤣🤣angalien Badge
Screenshot_20250628-172919.png



Sema siri ni kukaba mzee hasa Beckham na Roberto Carlos wasipige cross wala kukupita
 
Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu 😂
View attachment 3386572
Solution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.

Kaa na mali shambulia kwa mipango. Lakini pia press kwa timing kwenye mipira 50/50 tu muda mwingine tumia match up. Usiwape chance kabisa ya kupiga shuti golini
Screenshot_20250628_183215_eFootball.jpg
.
 
Yaliyotokea leo Room moja niliyoingia....


Kikosi changu pendwa kwa sasa😃
Screenshot_20250628-204030.png


Kikosi cha jamaa
Screenshot_20250628-201341.png


Matokeo
Screenshot_20250628-203315.png


Na ilibaki kdg nifungwe la Kumi Kayoko akasema inatosha 🤣🤣🤣🤣

Huyu Etoo mna uhakika anakabika??


Baadae naenda tena na jamaa kwa kikosi hiki hiki nitaleta mrejesho😃😃
 
Mkuu katika watu tunacheza defensive humu ndani na mimi nipo sifunguki 😃😃😃hicho kikosi nilizidiwa kila sehemu😃😃😃
Pole mkuu .... Kuna wana wanajiweza sana ...hahahaha Kuna yule alinifunga 4 nikimisplace pass na golikipa hafungi anaanza build up kwa kurudisha mpira nyuma hahaha.
 
Back
Top Bottom