eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu 😂
IMG-20250628-WA0015.jpg
 
Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu 😂
View attachment 3386572
hahaha mimi niliwafunga mkuu....nilibadilisha formation mara 3..

Ukifunga rudi back 5 ....nafikiri pia Oliver Khan anawaokoa sana maana nimekosa clear chance 4 nikabahatisha 1 ndo nikapita nayo....
 
Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu 😂
View attachment 3386572
Nilikuwa nacheza nipo kwenye hiace nalud home nikawafunga top player bila shida, wakaja Superstar nikwafunga legends wakanigonga hamsa nikasema okay acha kwanza nifike home kichwa umetulia ndo nitacheza nao
 
Back
Top Bottom