eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Tunampa phase hii haakikishe yupo division 1 rank za juu kabisa.

Hakishindwa inabidi achapwe viboko mbele ya wanauzi, kaka Selikavu
Nitalisimamia hili kwa moyo wa dhati kabisa😃😃😃
images - 2025-06-24T180510.406.jpeg
 
Me nimekuja juzi nina badge ya division two...

Ukikaa hovyo Kandambili atakupita😃😃😃
Hahaha mkuu...m Mimi pvp nimeshindwa aiseh nipo league Ai dvn 4 naona naenda divn 2 kesho..

Shida ya pvp Network inaniangusha sana sana....nimebakisha match 5 nahitaji point 3 sema network ndo inanifanyia nisiwakande vizuri.
 
Back
Top Bottom