Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Oya unanionea huruma?32407036
Oya unanionea huruma?32407036
Siyo sana.Wadau mna kipiga 24hours
Sasa kikosi chako mzee si nitakuogesha kwa kile nilichoweka mara ya kwanza😃😃Oya unanionea huruma?
Ni buridani tu mkuu we ungecheza nacho.Sasa kikosi chako mzee si nitakuogesha kwa kile nilichoweka mara ya kwanza😃😃
Hakuna kitu ungefanya ile kikosi inamfunga mtu wa 3160😃😃😃Ni buridani tu mkuu we ungecheza nacho.
Ulikuwa huchezi mkuu umezingua 😂Master ni mmoja tu humu ndani naye ni Razorblade imagine ananifunga na hii kikosi😃😃View attachment 3382663
Matokeo haya hapa bila picha ni Uzushi😃😃View attachment 3382666View attachment 3382665
Wewe ungecheza tu.Hakuna kitu ungefanya ile kikosi inamfunga mtu wa 3160😃😃😃
Nimekukamia mbona🤣🤣🤣Ulikuwa huchezi mkuu umezingua 😂
Siku enjoy atleast nilivyoweka cha size yakoWewe ungecheza tu.
Hamna mchezo wako naujua 😂Nimekukamia mbona🤣🤣🤣
Mechi ya kwanza nashangaa nimerudisha goli zote 4, hujafanya sawa kabisa mkuu 😂Siku enjoy atleast nilivyoweka cha size yako
Ujue naangalia ndo kwwnza first half na hata dalili ya kupiga shuti huna nikasema ngoja nikuachie mawili ili upate nguvu ya kucheza🤣🤣🤣nashangaa umeludisha yoteMechi ya kwanza nashangaa nimerudisha goli zote 4, hujafanya sawa kabisa mkuu 😂
Na ndo kilichonikera maana nilijua kabisa hapa nafanyiwa kusudi ili nipate goli 😂Ujue naangalia ndo kwwnza first half na hata dalili ya kupiga shuti huna nikasema ngoja nikuachie mawili ili upate nguvu ya kucheza🤣🤣🤣nashangaa umeludisha yote
🤣🤣Eeh acha tuu...Na ndo kilichonikera maana nilijua kabisa hapa nafanyiwa kusudi ili nipate goli 😂
Hivi ukitumia hotspot game linakuwa slow?🤣🤣Eeh acha tuu...
Utanshtua ukitaka kwenda tena
We jamaa umepata simu mpya kumbe😃Ni buridani tu mkuu we ungecheza nacho.
Alonso derby imerudi hatimaye 😃Master ni mmoja tu humu ndani naye ni Razorblade imagine ananifunga na hii kikosi😃😃View attachment 3382663
Matokeo haya hapa bila picha ni Uzushi😃😃View attachment 3382666View attachment 3382665
Sijapata simu mkuu, kuna mtu natumia simu yake na kikosi chake inaonekana ndo alikuwa anaanza game.We jamaa umepata simu mpya kumbe😃