eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kuna simu nilikuwa nayo kuikagua nikakuta game hilo nikalifungua, mwenye simu nae ndo anaanza maana kikosi kilikuwa cha standard card toleo la mwisho 😂

Akirudishiwa simu yake atashangaa kukuta kikosi kimekua tofauti na alivyokiacha.
Kheeh 😃umekipanga upya
 
Kheeh 😃umekipanga upya
Siyo kukipanga upya tu atakuta kocha wa 500 coins na wachezaji wapya akiwepo na Cavani 😂
20250625_094055.png


Alikuwa hana coins wala GP, nikifikisha coins 500 nasajili kocha, sasahivi zipo coins 370.
 
Back
Top Bottom