Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,291
Kheeh 😃umekipanga upyaKuna simu nilikuwa nayo kuikagua nikakuta game hilo nikalifungua, mwenye simu nae ndo anaanza maana kikosi kilikuwa cha standard card toleo la mwisho 😂
Akirudishiwa simu yake atashangaa kukuta kikosi kimekua tofauti na alivyokiacha.