Hii NAPIGA.😅kibabu mabeki wana kaa juu sana ,nikicheza na mnao acha striker mbele kama NEGAN nachoma kibanda sana
Ya japan auAccount yangu inasubiri kocha tuu soon naachana na ya Myunani nahamia huku mazima😃
Ile ya Myunani nitakuwa naingia kwenye challenge tuuView attachment 3377587
Babu hatoi mabeki, huyo hamjui Alonso.Bora kibabu sio Alonso kaka😃😃
Wewe umewatumia wote unajua Show ya Alonso😃😃🙌Hii NAPIGA.
Eeh MkuuYa japan au
Alonso wanakuambia kabisa wadau utafunga na kufungwa😃😃😃Babu hatoi mabeki, huyo hamjui Alonso.
Nimeachia makocha wote kabaki babu Gesperin tu 😂Wewe umewatumia wote unajua Show ya Alonso😃😃🙌
Ukiwa na Alonso kutoa GG ni kawaida sana 😂Alonso wanakuambia kabisa wadau utafunga na kufungwa😃😃😃
Najuta kumuacha😃Nimeachia makocha wote kabaki babu Gesperin tu 😂
Ukiwa na Alonso kutoa GG ni kawaida sana 😂
Pole sana 😂Najuta kumuacha😃
Anashambulia vizuri sana ila kwenye kujilinda ni tobo.kila mtu anasema hivyo...
Mkuu me ndo naingia hapa ratiba ilikuwa ngumu kidogo🤷♂️
Tumekimbizana huko room sio mchezo 😂Ulikuwa n Mill Bro leo😃😃
Matokeo yapo wap
Ewaaa mlete tokeo sasa tuone nani kanyooshwa leo😃😃Tumekimbizana huko room sio mchezo 😂