eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Sisi watengeneza account kwa wachezaji wa bure hilo siyo la kuuliza, wowote wataokuja ni kupita nao tu.
Kwa jinsi akina Constacurta na Cafu wananvyonikaba nipo mbion kununua account 🤣🤣🤣ambayo itakuwa na hawa jamaa
 
Screenshot_20250620_190204_eFootball.jpg
Screenshot_20250620_190745_eFootball.jpg
nimeona nimtoe pedri kikosini akae uyo jamaa ,japo pedri ana kichafua sana kati kati lakini kwa mfumo wangu naona yuko slow sana maana napenda kutumia through pass ,, Nime jaribu CMF Box to box wawili na anchor man kama DMF naona timu iko njema , saa 4 Selikavu Edo kissy Razorblade itabidi tuguse 😅😅
Screenshot_20250620_190326_eFootball.jpg
 
View attachment 3377023View attachment 3377026nimeona nimtoe pedri kikosini akae uyo jamaa ,japo pedri ana kichafua sana kati kati lakini kwa mfumo wangu naona yuko slow sana maana napenda kutumia through pass ,, Nime jaribu CMF Box to box wawili na anchor man kama DMF naona timu iko njema , saa 4 Selikavu Edo kissy Razorblade itabidi tuguse 😅😅 View attachment 3377024
😃😃😃Unamtoaje Pedrinho Gonzalez😂😂😂mimi ukitaka kuniweza mkabe pedri hapo ujanja wote mfukoni😃😃😃


Sema huyo jamaa sema Zairy Emery anakaba mzee hapo kati pamekaa njema😃box to box wawili kati kati ni Uuwaji... Nilikuwa nacheza na Pedri pamoja na Rice zaman😃ilikuwa unyama sana

Kuna alhamic moja wakaleta update Rice form Yake ikasoma D nikamtoa baada ya hapo sijawai waludisha tena kucheza pamoja


Saa nne kama kawaida mkuu au muda wowote me nipo tuu
 
😃😃😃Unamtoaje Pedrinho Gonzalez😂😂😂mimi ukitaka kuniweza mkabe pedri hapo ujanja wote mfukoni😃😃😃


Sema huyo jamaa sema Zairy Emery anakaba mzee hapo kati pamekaa njema😃box to box wawili kati kati ni Uuwaji... Nilikuwa nacheza na Pedri pamoja na Rice zaman😃ilikuwa unyama sana

Kuna alhamic moja wakaleta update Rice form Yake ikasoma D nikamtoa baada ya hapo sijawai waludisha tena kucheza pamoja


Saa nne kama kawaida mkuu au muda wowote me nipo tuu
😹😹pedri ana kichafua sana ,tatizo kwangu aja kizi mfumo
 
Back
Top Bottom