Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Rumi ni Striker mzee😃😃me mwenyewe nikimpata nitamtunza kama dhahabu😃😃😃Kuna jamaa katumia laki moja kumpata Rumme. Anamcare kuliko hata demu wake
Rumi ni Striker mzee😃😃me mwenyewe nikimpata nitamtunza kama dhahabu😃😃😃Kuna jamaa katumia laki moja kumpata Rumme. Anamcare kuliko hata demu wake
😅😅kui create itabidi utumie V.P.N ama vipiJapana mzee epic inasemekana kupata ni rahisi kuliko region nyingine kwa sababu ofisi za konami zipo hapo ...
Pia kuna coin 25 za free kila jumatatu
Amna kawaida tuu pale kwenye kuselect Region unaweka Japan sema kimbembe kipo kwenye kulink na konami Id utaletewa hicho kijapan lazima uwe mtundu kdg kubadilisha lugha upande wa chrome na kwenye email...😅😅kui create itabidi utumie V.P.N ama vipi
Mbona umeanza na kucheka kwanza😃😃nataka nijaribu Alonso amenichosha,,, na sioni kocha wa haraka wa mia tano😃😂😂Long ball😃
Achana naye huyo subiri meneja wa 89 watakuja soonView attachment 3370348
Huyu Hapa mkuu NEGAN
Ana LBC 80 na LB 89
Alonso anazingua sana😃 sasa kwa sasa sion kocha wa kueleweka wa LBC au QC kuchoma coin kwenye epic bora nimchukue huyu
Japo booster zake sijazikubali wala nini na kitunza coin kwangu kipengele😃
Sawaa mkuuAchana naye huyo subiri meneja wa 89 watakuja soon
Oya una balaa 😃HAMNA WAGENI HUMU NIWE 'TISHIA WAGENI'? 😂😂🔥😎View attachment 3370371
Kaupepo kamekubali hii wiki ni moto 😄Oya una balaa 😃
Wakija tutakuwa tukakusakazia😃😃HAMNA WAGENI HUMU NIWE 'TISHIA WAGENI'? 😂😂🔥😎View attachment 3370371
Mi nimeshindwa. Kuna mbinu nimeipata saivi ya kutunza coins 😂 mana hapo hiyo screenshot si unaona sina hata coins.Mniombee nitunze coin wakuu😃😃😃
Waleteni 😅Wakija tutakuwa tukakusakazia😃😃
Jichanganye Si expire na ulisahau😂😂🤣🤣🤣Mi nimeshindwa. Kuna mbinu nimeipata saivi ya kutunza coins 😂 mana hapo hiyo screenshot si unaona sina hata coins.
View attachment 3370383
Umeona hapo kwenye notification coins zipo kama 300 sitaki kuzi-claim nitapata tamaa ya kuspin ndo njia ya kutunza kwangu.
Huwa naingia naclaim zile trainings tu coins naacha 😂😅
Me sipo form saivi nakula vipigo tuuWaleteni 😅
Mbona Coins hazina expireJichanganye Si expire na ulisahau😂😂🤣🤣🤣
Wewe hizo mind game zako mi sitegeki tena 😂😂😎Me sipo form saivi nakula vipigo tuu
Sijawi fuatilia kama hazina na mimi nitaanza hii 😂Mbona Coins hazina expire