Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
SawaNakuja mkuu
SawaNakuja mkuu
Konami washenzi kaka umechoma Ngapi??Ila Osimhen nimeenda Hadi kucheki bei za coin🤣. Konami wezi sana dadeq💔🚮
😃😃😃Toa tu kaka😂😂Natamani sana huyo jamaa ila ndo siwezi toa hela ninunue coin.
Eti kama Guardiola hivi afu mbili yako safi kabisa😃😃Bora bei ya mchezaji ingekuwa inafahamika. Mambo ya kuspin hayo ndio wanapotuibia
Sema kama una Batistuta anatosha , Osihmen mwenyewe mzito bora hata ya Mbappe potw
David villa buku 6 😅Eti kama Guardiola hivi afu mbili yako safi kabisa😃😃
Yule ni mfanyakazi hewaDavid villa buku 6 😅
Konami wanazingua mzee😃😃Jamaa card wanazipendezesha kumbe wanataka uingie kwenye mtego😅
Nenda divisionKonami inabidi waongeze challenge zilizopo nazo sha zizoea hadi sipati vibe sanaa 😅😅
😅 hii ya kurudishwa uliko toka kila updateNenda division
Mhh hajafikisha million 1 huyu😅A wapi sema teacher wangu wa game kawekeza kinomaView attachment 3370297
Watu wanawekeza kubabakeA wapi sema teacher wangu wa game kawekeza kinomaView attachment 3370297
Mbappe wa 106 ana patikana wapiA wapi sema teacher wangu wa game kawekeza kinomaView attachment 3370297