Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Ile nitaipata nikiwa na kikosi cha 3250๐๐Hii hapana ๐๐.. ila huwa natamani sana siku nikaze nipate ile badge ya top 100 au 1000 nitatisha sana mambanga ๐
Ile nitaipata nikiwa na kikosi cha 3250๐๐Hii hapana ๐๐.. ila huwa natamani sana siku nikaze nipate ile badge ya top 100 au 1000 nitatisha sana mambanga ๐
Kama kweli, mana nakutana Nigerians sanaKwenye Region yetu nadhani Division bado hamjaenda wengi๐๐
Mpaka ufike 3250 watu wapo 3400 wamepowa ๐ ๐คฃIle nitaipata nikiwa na kikosi cha 3250๐๐
Kule division ni pila objective tuu kama Robertinho ๐๐Mi sikuizi nikicheza friendly Possession ndo inanifaa ila kule efb league naona bila QC sitoboi
Kuna siku nikamuambia nitapiga sub moja dakika ya 70 akasema hakuna weka Auto๐๐๐MMOJA MWENYEW MTANDAO MZURI ASIEBADIL WAPIGA KONA WALA KUSTOPISHA GAME ATUME CODE DM TWENDE FRIEND
Ngoja week ijayo nikaanze kuponda mbuzi za division 8 huko maana sikucheza kabisa division msimu ulioisha๐๐Ndio. Naona saivi kama ulishawahi kufika div 1 lazima uanzie div 3View attachment 3368610
Haha, inaonesha huwa hataki usumbufu ni kucheza tu.Kuna siku nikamuambia nitapiga sub moja dakika ya 70 akasema hakuna weka Auto๐๐๐
Alafu Nigerians ni kama hawajui game๐๐au me ndo nakutana na vibonde๐Kama kweli, mana nakutana Nigerians sana
Kuna mtu anazidi 3300 kwan๐๐๐Mpaka ufike 3250 watu wapo 3400 wamepowa ๐ ๐คฃ
Sidhani kama utaanzia division 8, utakuwa pale 5/6Ngoja week ijayo nikaanze kuponda mbuzi za division 8 huko maana sikucheza kabisa division msimu ulioisha๐๐
Anakuambia pause anayo ijua yeye ni ya konami tuu ๐๐๐Haha, inaonesha huwa hataki usumbufu ni kucheza tu.
Nawabonda kishenz wengine wanaweka no zao za simu, namfunga afu namtumia whatsapp na maneno ya kejeli ๐Alafu Nigerians ni kama hawajui game๐๐au me ndo nakutana na vibonde๐
Nitachek nione waliponipelekaSidhani kama utaanzia division 8, utakuwa pale 5/6
Nilikuwa napenda hiyo ya kuwatafuta Wakati nipo na Dls saivi nimekuwa mstaarabu mnoNawabonda kishenz wengine wanaweka no zao za simu, namfunga afu namtumia whatsapp na maneno ya kejeli ๐
Watafikia huko saivi. Haujaona kule kwa Zico kuna mtu ana 3280+ na hapo kuna wachezaji wapo reserve wana 105-6.Kuna mtu anazidi 3300 kwan๐๐๐
Haha, mtu alieweka no akinifunga huwa natamani nimfate nimtukane ila nakaza ๐คฃNilikuwa napenda hiyo ya kuwatafuta Wakati nipo na Dls saivi nimekuwa mstaarabu mno
Kumbe๐Kama ulifika Division one mmeanzia 3 wote๐๐
Nataka nijaribu tu kwanza kama kuunganisha nitatumia Google ID(Google Play Games).Hapana kubadilisha hauwezi ndo moja kwa moja hiyo...
Na haiitaji VPN ๐๐sema ujue kubadilisha lugha chrome unavyologin kuunganisha na konami Id๐๐maana watakuletea kijapan
Kazi kwenu muuane div 4 mechi 10 za moto ๐Kama ulifika Division one mmeanzia 3 wote๐๐
Mtego huo mkuu, ikitokea umefungwa na hao wa dvn 3 utakatwa points za kutosha ๐Kaka, kila nikiingia kwenye kusachi mechi mi nipo div 2 ila naletewa watu wa div 3 mpaka raha najichapia tu ๐ sijui KONAMI wameamua kuniachia uhuru