eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Osimhen kaanza kazi rasmi
1000059636.jpg
1000059635.jpg
 
Hili game nimeanza kucheza tokea mwaka 2018.

ila tangu mwaka jana walivyofanya update kubwa kutoka PES kuwa e football na mimi nikabadli simu.

Nikanunua simu ya Redmi 10A basi siwezi kulicheza tena simu haisupport na account yangu ya KONAMI nahisi ishafungwa.

Hapa nawaza nibadili simu.
Simu gani nzuri kwa game hiyo?!
 
Back
Top Bottom