Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
ThunderkickNipe username
ThunderkickNipe username
thunderkick sijuiNipe username
Ujue hii inaweza ikawa derby yako mkuuTupande
😹😹 ngoja nione mwendo wakeEwaaa hii match tamu sana mkuu kamkaamie huyu atoboi leo nipo na wewe
We kakamie hatoboi huyu ana point zetu😃😃😃😹😹 ngoja nione mwendo wake
Nimecheza na mtu anaye friend dogo hafai😅Ana balaa
😅😅vipi jamaa Kakupiga sana ,We kakamie hatoboi huyu ana point zetu😃😃😃
Huyu jamaa ndiye aliyenifundisha game... Mara ya kwanza kabisa alikuwa ananipa mara moja moja nacheza kabla sijaweka kwenye simu yangu😅😅vipi jamaa Kakupiga sana ,
kama ni master wako kwenye smart assist ishakua kipengele hiki😹sema nme tulia na formation moja saiv amna magoal ya kizembeHuyu jamaa ndiye aliyenifundisha game... Mara ya kwanza kabisa alikuwa ananipa mara moja moja nacheza kabla sijaweka kwenye simu yangu
Anatumia smart assist alafu kaimaster ni kazi kumfunga leo nimebahatisha moja
Ana mpira kama wangu nikakumbuka Anti counter ya NEGAN aliyotumia kwangu nikatumia kwake ikatiki game ya mwisho nikamfunga tatu bila😃😃
Sio master wangu kwenye smart assist maana me siitumii yeye katumia smart assist mpaka ameimasta vizuri kabisakama ni master wako kwenye smart assist ishakua kipengele hiki😹sema nme tulia na formation moja saiv amna magoal ya kizembe
Kamchek online anaweza kuwepoMkuu nlikuwa na burst simu.
Twende mbili😃Hayupo mkuu, tukipige kesho