eFootball Special Thread

Ndo kwanza nimeanza kulicheza rasmi juzi
Jitaid usikose kupiga zile penalty zao kila siku...

Na events zao zile za coin jumatatu na Alhamic pamoja na za chance deal... Kuna ya Galatasaray imekuja nadhani bado haijaisha cheza wakupe wachezaji pale upate beki mzuri kidogo
 
Hizi card huwa wanazipunguzia makali tena???
Wakileta epics zao za maana the same position zingine zinapotezwa. Hata Tchoumeni huyu kipindi tumemchukua alikuwa anakaba kama vita, baada ya hapo zimeletwa anchor man zingine kwenye epic yeye duh tunamtumia sisi wanyonge tu πŸ˜„
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Kibonde ni mimi humu mkuu nikifwatiwa na Razorblade πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mimi siyo kibonde wewe ila sina simu ya kueleweka, usinifananishe na wewe muulize huyo Mr Devil anaijua shughuli yangu πŸ˜‚
 
NEGAN nimejaribu back 3 ipo vyema kwenye defense maana ukiwa unashambuliwa nimeona inabadirika yenyewe kuwa back 5.


Konami wamekula coins zangu 300 na hawajanipa naemtaka, sikati tamaa mpaka wanipe naemtaka πŸ˜‚
 
Wakileta epics zao za maana the same position zingine zinapotezwa. Hata Tchoumeni huyu kipindi tumemchukua alikuwa anakaba kama vita, baada ya hapo zimeletwa anchor man zingine kwenye epic yeye duh tunamtumia sisi wanyonge tu πŸ˜„
Kwahiyo Pedri wangu kuna siku ataishiwa nguvu πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…