Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Mwache mbappe bhana striker ya boli🤣🤣Ulikuwa haujui kama ni Bullet Header sio 😄 afu wewe mara nyingi cross zangu huwa unazinasa. Nakukomoa sasa naanza kukuwekea Nunez 🤣
Mwache mbappe bhana striker ya boli🤣🤣Ulikuwa haujui kama ni Bullet Header sio 😄 afu wewe mara nyingi cross zangu huwa unazinasa. Nakukomoa sasa naanza kukuwekea Nunez 🤣
Hizi card huwa wanazipunguzia makali tena???Wameipunguza makali dah sema kwenye heading bado yupo vizuri akikutana na mabeki wafupi.
Aah hujazishika button vizuri sehemu zilipo kwa hiyo unaweza ukawa unabonyeza sehemu ambapo hakuna kituWakuu Mimi ndo naanza bhana..
Kuna hii shida nakutana nayo....yani pass hazitoki hata niguse mara 3 wala kick, wala through ball....hii shida inaishaje...
Kuna daraja la 9 na 8 nmecheza vyema sana bila shida
Edo kissy kasema hakuogopi kabisa kaka mchana hiyo😃😃😃Mda wa kupasha, Nani yupo
Oya una balaa😀Its time😁
Wanatoa kadi zenye stats nzuri zaidi automatically kadi za zamani zinaishiwa nguvuHizi card huwa wanazipunguzia makali tena???
Mmeenda kwan??😃😃Oya una balaa😀
Vip mmecheza??Muda umefika coop tusisahau pia
Umejitaidi😁Mda wa kupasha, Nani yupo
😂😂itabidi nipande nae si unajua me ndo kibonde wa humu mna jipigia tuEdo kissy kasema hakuogopi kabisa kaka mchana hiyo😃😃😃
Twende mkuuUmejitaidi😁
Totti nilimshusha chini nikamuachia torres na drogba😂Mr Devil umeenda kumakaba Totti utamuweza kwel😃😃😃View attachment 3362548
😂😂sanaa, second half uli instruct wahuni wabaki nyuma ya beki zangu niniUmejitaidi😁
PoaTwende mkuu
We una balaa ukicheza ile formation yako 4141 striker Neymar sema umeiacha tu😂😂itabidi nipande nae si unajua me ndo kibonde wa humu mna jipigia tu