eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wakuu Mimi ndo naanza bhana..

Kuna hii shida nakutana nayo....yani pass hazitoki hata niguse mara 3 wala kick, wala through ball....hii shida inaishaje...

Kuna daraja la 9 na 8 nmecheza vyema sana bila shida
Aah hujazishika button vizuri sehemu zilipo kwa hiyo unaweza ukawa unabonyeza sehemu ambapo hakuna kitu
 
Mr Devil umeenda kumakaba Totti utamuweza kwel😃😃😃
Screenshot_20250609-215421.png
 
Back
Top Bottom