Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,718
Hamna ishu hapoJina tu wolfbrothers😀
Hamna ishu hapoJina tu wolfbrothers😀
Sija pata formation permanent nikiona nafungwa sana nahamaWe una balaa ukicheza ile formation yako 4141 striker Neymar sema umeiacha tu
Mkuu nimezishika vyema yani nabonya hadi inasogea power range ile na pasi haitoki....nashukuru nimekutana na muungwana hahahahAah hujazishika button vizuri sehemu zilipo kwa hiyo unaweza ukawa unabonyeza sehemu ambapo hakuna kitu
Nilipigiwa simuWaterbender nice match 🤝ila naona mtandao umekata kwako
Ndiyo maana😀Nilipigiwa simu
Unanivizia mno asee😂Ndiyo maana😀
Sivizii na maintain defensive shape😀Unanivizia mno asee😂
Username not foundnahitaji kupasha wakuu...nione kama shida ya button imeisha kandambili1 ndio user yangu
Totti wako ana balaa lile goli 🫡Unanivizia mno asee😂
Ungeniachia beki tatu ni jilie😂Sivizii na maintain defensive shape😀
Niligundua hili😀 Totti ni dlf angefanya runs nyingi sana nyuma ya beki wangu nikafanya tactical change😀.Ungeniachia beki tatu ni jilie😂
😃😃😃 Kibonde ni mimi humu mkuu nikifwatiwa na Razorblade 😃😃😃😂😂itabidi nipande nae si unajua me ndo kibonde wa humu mna jipigia tu
Smart inaniokoaga sana kwa mabeki hukuNiligundua hili😀 Totti ni dlf angefanya runs nyingi sana nyuma ya beki wangu nikafanya tactical change😀.
Halafu zima smart assist hiyo mkuu😀
Ni kuhama tu huku na kule😃😃🔥Totti nilimshusha chini nikamuachia torres na drogba😂
Kama inakuokoa hamna shidaSmart inaniokoaga sana kwa mabeki huku
Pass 175 mnacheza vinini kwan😃😃😃pasi zote hizo hamuoni goli ama🤣🤣😂😂sanaa, second half uli instruct wahuni wabaki nyuma ya beki zangu nini
Ni balaa🔥🤣Jina tu wolfbrothers😀
Tafuta formation moja komaa nayo kaka hata ufungwe mia hubadilishiSija pata formation permanent nikiona nafungwa sana nahama