Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Tupe ratiba saa ngapi awepo mkuu hii match tumeingojea mno😃😃Aje afwee
Tupe ratiba saa ngapi awepo mkuu hii match tumeingojea mno😃😃Aje afwee
Mbona unataja jina Nusu ni Mr Italian Prince Fransisco Totti wa 105😃😃😃🔥🔥🔥Mr. Totti tupashe
105 ni namba tu kama 101 😂😂Mbona unataja jina Nusu ni Mr Italian Prince Fransisco Totti wa 105😃😃😃🔥🔥🔥
Hii vita unaitaka sana🤣🤣🤣ila siyo yako ni ya Negan 😃😃😃105 ni namba tu kama 101 😂😂
Awe na ule mpira wa kuvizia kama wako 😂 yani we kidole kikikosea kutoa pasi tu pale kati unapita na huo mpira kwa kasi ya umeme 😄 🔥🙌Hii vita unaitaka sana🤣🤣🤣ila siyo yako ni ya Negan 😃😃😃
Yako Mill broh anakuongojea na Back 5 huko DMF wawili pamoja na Full blue dakika za mwanzoni kabisa 🤣🤣🤣
Utapiga sana Back pass leo🤣🤣
Me pass kupiga siwezi kabisa🤣🤣🤣 kwahiyo ni mbele mbele yao😃😃😃Awe na ule mpira wa kuvizia kama wako 😂 yani we kidole kikikosea kutoa pasi tu pale kati unapita na huo mpira kwa kasi ya umeme 😄 🔥🙌
Sa 2130 PmTupe ratiba saa ngapi awepo mkuu hii match tumeingojea mno😃😃
Sawaa mkuu uwepo hapa me kama DStv nitakuwepo 2120 hapa😃😃😃Sa 2130 Pm
Waterbender bender asha confirm? 😀Wakuu leo Saa tatu na nusu tutakuwa na mechi ya kukatana shoka kati ya Waterbender Manager wa Monaco akiwa na mchezaji wake pendwa Prince of Italy 😃😃🔥View attachment 3362465
Mechi itakuwa Zidi ya NEGAN manager wa Atletico Madrid master of Haram Football mix mpira mzuri😃😃😃akiwa na kiberenge chake pendwaa Darwin GOAT Nunez View attachment 3362469
Hii si ya kukosa😃🔥🔥🔥🔥
Naona serekali kupitia bodi ya michezo na wazir mwenye dhamana kusiwe na kiingilio.Wakuu leo Saa tatu na nusu tutakuwa na mechi ya kukatana shoka kati ya Waterbender Manager wa Monaco akiwa na mchezaji wake pendwa Prince of Italy 😃😃🔥View attachment 3362465
Mechi itakuwa Zidi ya NEGAN manager wa Atletico Madrid master of Haram Football mix mpira mzuri😃😃😃akiwa na kiberenge chake pendwaa Darwin GOAT Nunez View attachment 3362469
Hii si ya kukosa😃🔥🔥🔥🔥
Hapana nina Rodri saivi pale kati kwahiyo deepline yangu inasoma Urefu 190 wote yan Baston, 190 Rudiger 190 Rodri 190 Zaman ilikuwa de jong yeye ana 180 kwahiyo vichwa ilikuwa ni kujipigia tuu😃😃😃Selikavu Beki zako zimecheza cross zangu zote na kona zote leo. Nunez hajawin header hata moja😀 imekuaje au ndio "Goalkeeper dirrcting defence" au ni kazi ya Rudiger
Saa 4 tupige mkuuNaona serekali kupitia bodi ya michezo na wazir mwenye dhamana kusiwe na kiingilio.
Dah nimeshangaa bullet header Nunez amebanwa kila cross😀Hapana nina Rodri saivi pale kati kwahiyo deepline yangu inasoma Urefu 190 wote yan Baston, 190 Rudiger 190 Rodri 190 Zaman ilikuwa de jong yeye ana 180 kwahiyo vichwa ilikuwa ni kujipigia tuu😃😃😃
Tayali kabisa hapa nilikuwa nawaza taarifa itakufikiaje maana huwa unakuja saa nne😃😃Waterbender bender asha confirm? 😀
Kiingilio bundle lako tuu na pop corn😃😃Naona serekali kupitia bodi ya michezo na wazir mwenye dhamana kusiwe na kiingilio.