Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Uzuri haya mambo yanazungumzikaMwendo wa kusagia kunguni tu😀
Saiv acha nikusagie kunguni tuu
Baada ya game tutazungumza kaka🤣🤣🤣
Uzuri haya mambo yanazungumzikaMwendo wa kusagia kunguni tu😀
Akiacha kamdomo nje ya uwanja awe kama messi yeye ni uwanjani tuuIla dogo namuelewa, atafika mbali.
Ngoja kidogo turuke😀Derby yangu inipe code😜
Ukiweka wote watatu nitapita wapi mimi😃😃Lini pedri kanisumbua wewe wakati alikuwa anakutana na kipara Amrabat, nikimpata Kante namuweka pamoja na Rodri 😂
Sasa masaa tisa yameingiaje hapa🤣🤣Sasa mtu anacheza game masaa 9 hawezi shindwa nunua coins 😂
Hela kaka walikuwa wanauza bei mno me alinifanyia maana nilisoma nae chuo hiviUngebeba laki hivi
Tunamsikilizia mkuu Waterbender mtaalam wa Fransisco totti blitz culer🤣🤣🤣Saa ngapinhivi
Ipo baada ya match yako wewe na Totti🤣🤣Wakuu leo mechi ya Coop ipo?
Akuje atupe mwongozoTunamsikilizia mkuu Waterbender mtaalam wa Fransisco totti blitz culer🤣🤣🤣
Hii derby unanyanganywa wako atakuwa Mr devil🤣🤣🤣Derby yangu inipe code😜
Aah bookmaker upo makini na kazi 😀Ipo baada ya match yako wewe na Totti🤣🤣
Una line ilikubali??😃Alafu mbona kama najua kununua ebu nijaribu😂
Me nipo hapa nitaweka adi alarm kabisa kuwakumbusha😃😃Akuje atupe mwongozo
Jiandae kumkabili TottiAah bookmaker upo makini na kazi 😀
Huyo yupo busy nae sanaAkuje basii