eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Zamani game lilikua tactic full manual ila sasa hivi AI imeharibu vitu unacheza na noob anpiga pass kama mkongwe anasaidiwa kila kitu na AI.

Zamani ukicheza division matches unaona ufundi halisi wa watu hadi una appreciate.
Nimetoka kucheza na mtu friend match anatumia smart assist 🙌nimejuta kucheza😃
 
Nimetoka kucheza na mtu friend match anatumia smart assist 🙌nimejuta kucheza😃
Oya Kaka acha tu.
Screenshot_20250604_111358.jpg
ona huyu nilikutana nae division pale. Jamaa hata kucheza mpira mzuri hachezi anabutua tu afu kilichoniuma zaidi vipasi vyake vya smart assist pale kachop ya kwanza akanifunga na BatiGoal 🫩 nikapambania nimerudisha dakika za mwisho naongoza nashangaa tena kaotea mali BatiGoal tena duh , afu mi kila nikishambulia natoka hola alikuwa na yule Cech wa 99 🙌🫩😂
 
Oya Kaka acha tu.View attachment 3355679ona huyu nilikutana nae division pale. Jamaa hata kucheza mpira mzuri hachezi anabutua tu afu kilichoniuma zaidi vipasi vyake vya smart assist pale kachop ya kwanza akanifunga na BatiGoal 🫩 nikapambania nimerudisha dakika za mwisho naongoza nashangaa tena kaotea mali BatiGoal tena duh , afu mi kila nikishambulia natoka hola alikuwa na yule Cech wa 99 🙌🫩😂
Kaka acha tuu kuna muda nilitaman niwashe na mimi nikakumbuka nimesema mpaka nijue game

Hivyo vipasi vinauzi bhana maana kawaida mtu kabla hajapiga chop unakuwa ushakaba😃
 
Back
Top Bottom