Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nimeusanukia 😂Mtego huu😃🫵
Nimeusanukia 😂Mtego huu😃🫵
Sawaa mkuuNiache 😂
Hivi Edo kissy unajua kua nipo kwenye huu uzi since day 1 kama mchangiaji😀. Ila kama mchezaji tena mwaka jana baada ya kupata simu 😀Kikosi changu cha mwisho kukitumia nimebonda sana wahindi online match wanaquit 😂na hio formation ya 4222 ya Rafael Benitez.
Ilikua mwendo wa counter attacking football tu. Nilikua na asrosto nalo balaa sasa tangu nihisi account yangu wameshaifuta mzuka nalo umepotea.View attachment 2812465View attachment 2812466View attachment 2812467
Na mimi ndo najiuliza hapa😃🫵Ndo kusema huyo juu ni wewe mkuu😁
Jichanganye ufungwe mpaka simu izime kaka🫵🫵🫵Nimeusanukia 😂
Akaunti yangu ya zamani hiyo😀 huoni uchambuzi unafanana miandiko😀Ndo kusema huyo juu ni wewe mkuu😁
Sio mkongwe nimecheza 2018 hadi 19 mwanzoni nikaacha. Nikarudi 2021 mwishoni hadi 2022 mwanzoni waka update game simu ikawa haina uwezo nikaachana nalo. Nimerudi tena mwaka jana mwezi wa 8😀Aje ajibu huku😂 na kama ni yeye 🙌🏿 ndio maana anatunyoosha kumbe mkongwe🥷
2018 ila ni mzoefu, mimi nimeanza 2023 mwanzon ila nlikiwa nacheza mara moja sana mwaka jana ndo nipo nalo bega kwa bega.Sio mkongwe nimecheza 2018 hadi 19 mwanzoni nikaacha. Nikarudi 2021 mwishoni hadi 2022 mwanzoni waka update game simu ikawa haina uwezo nikaachana nalo. Nimerudi tena mwaka jana mwezi wa 8😀
Lakini sasa hivi game limekuwa baya halinipi mzuka kama zamani.2018 ila ni mzoefu, mimi nimeanza 2023 mwanzon ila nlikiwa nacheza mara moja sana mwaka jana ndo nipo nalo bega kwa bega.
😂😂😂🙌Nimelud kuangalia kila kitu ni chako 😃🙌Akaunti yangu ya zamani hiyo😀 huoni uchambuzi unafanana miandiko😀
Bado ni mkongwe mkuu 😃😃Sio mkongwe nimecheza 2018 hadi 19 mwanzoni nikaacha. Nikarudi 2021 mwishoni hadi 2022 mwanzoni waka update game simu ikawa haina uwezo nikaachana nalo. Nimerudi tena mwaka jana mwezi wa 8😀
Alafu kuna mimi mwezi wa pili mwaka huu2018 ila ni mzoefu, mimi nimeanza 2023 mwanzon ila nlikiwa nacheza mara moja sana mwaka jana ndo nipo nalo bega kwa bega.
Kwamba zaman lilikuwaje naona pale unaset vitu vingi sana adi rahaLakini sasa hivi game limekuwa baya halinipi mzuka kama zamani.
Ndo mnahamia 2026 ama??Update zinaharibu😂🙌🏿 na bado update ya june