Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Shikamoo 😂
Shikamoo 😂
Nitampokea tu hakuna neno 😂Unaweza ukapewa owen kama mimi mzee😃😃
Nimekuwa noob mkuu we jipigie tu 😂Huyu msimu huu nipo nae napiga kote kote😃😃😃ndani na nje ya uwanja mpaka aludi form atakuwa ameiva😃😃
Duh😃🙌View attachment 3342428
Nina account mbili, kuna hii acc niliianzisha January ina upepo mno kwenye kupata wachezaji. View attachment 3342430
Hii nimekutana nayo mapema sana ila bahati mbaya NEGAN amefanya maamuzi mapema 😂KAUSHAURI KIDOGO🙃.. JAPO NAJUA HAMNA UVUMILIVU NYIE 🤣
View attachment 3342411
Marahaba shikamoo na wewe kaka😃😃😃Shikamoo 😂
Ukimpoke wewe wangu na namrelease🤣🤣🤣Nitampokea tu hakuna neno 😂
Nipo na wewe mpaka ufute game 😃😃😃Nimekuwa noob mkuu we jipigie tu 😂
Marahaba sana 😂Marahaba shikamoo na wewe kaka😃😃😃
Hii ukiingia na roho ya kuuza niuzie😃😃😃View attachment 3342428
Nina account mbili, kuna hii acc niliianzisha January ina upepo mno kwenye kupata wachezaji. View attachment 3342430
Kwamba hutokuwa na kazi nae 😂Ukimpoke wewe wangu na namrelease🤣🤣🤣
😅naenda hadi na selection 6 naishia kupewa 55,64,74KAUSHAURI KIDOGO🙃.. JAPO NAJUA HAMNA UVUMILIVU NYIE 🤣
View attachment 3342411
Bora ziishe tu hata nisipopata siyo mbaya 😂Hahaha, sema na hizi nuksi unaweza kaa tu afu usiambulie kitu
Game halifutwi, account nitakuja mpatia kijana wangu 😂Nipo na wewe mpaka ufute game 😃😃😃
Hahaha huyo jamaa alikuja ile mwaka mpya, kuna zile spin ya bure nilipewa kuweka tu nashangaa mwamba huyo.. hapo kati mzuri sana naweza hata kucheza beki 3 hicho kikosi na mana hapo kati ni wa moto 😄🔥Hii ukiingia na roho ya kuuza niuzie😃😃😃
Anchorman wangu Sergio wa 105 aje yoyote yule anakalishwa
Lakini ulivumilia mpaka zifike 21 ndo uende kuspin imekiwaje siku chache tu zikushinde 😂Too late😃
Game halitonoga nikicheza na wewe😃😃😃Kwamba hutokuwa na kazi nae 😂
Ni huzuni kwa kwel ongea na Guilberto vizuri😅naenda hadi na selection 6 naishia kupewa 55,64,74