Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nilianza kuspin coins 100 zikaliwa ikabidi nikacheze events nikapata free spin 3 na zote nikamkosa halafu akawa kabaki peke yake nikatoboka tena 100 zingine 😂Ulispine mia??😃😃
Nilianza kuspin coins 100 zikaliwa ikabidi nikacheze events nikapata free spin 3 na zote nikamkosa halafu akawa kabaki peke yake nikatoboka tena 100 zingine 😂Ulispine mia??😃😃
Mbaya zaidi bado free spin zinaendelea halafu siku unapata bahati unaletewa tena card ya Nakata 😂Baada ya kuambulia patupu nimefanya selection yangu tayari
View attachment 3341880
Kwa hiyo una Kounde kijana😃😃Nilianza kuspin coins 100 zikaliwa ikabidi nikacheze events nikapata free spin 3 na zote nikamkosa halafu akawa kabaki peke yake nikatoboka tena 100 zingine 😂
Ubaya ubwela😃Mbaya zaidi bado free spin zinaendelea halafu siku unapata bahati unaletewa tena card ya Nakata 😂
Wewe ni Owen ukibadilika sana ni nakata😃Hapa wameniramba coins 200 kwaajili ya Kounde tu 😂
View attachment 3342055
Ila kwa siku ya leo sina baya na Konami maana wamefanya nifanikishe kupata selection booster za kutosha na kuwajaza wahitaji.
View attachment 3342058
View attachment 3342060
Na bado zimebaki booster kwaajili ya usajili mpya kutoka kwenye selection contract.
View attachment 3342065
Je ni nani atasajiliwa kujiunga na kikosi cha Santos Fc?
Tuendelee kusubiri 😂
Itakua kisanga na nusu😃Mbaya zaidi bado free spin zinaendelea halafu siku unapata bahati unaletewa tena card ya Nakata 😂
Achana nayo subiri anchorman mzuri TchouameniMe ngoja niendelee na safari ya kutafuta 1500 nimchukue huyo kocha wa Ubelgiji...
NEGAN mkuu ukiipitia hiyo pack utanipa mrejesho ni pack nzuri ama niachane nayo...
Ina Anchorman pale mzee wa kazi Onana... Napia kadi ya KDB bado kuna card ya openda na Romelu Lakaka😃
Sawaaa mkuuAchana nayo subiri anchorman mzuri Tchouameni
Selection au kweny spine??Hatimae
Selection 😅spin ,napata 55 hadi 70Selection au kweny spine??
Na ni First XI, Trent anaanzia nje 😂Kwa hiyo una Kounde kijana😃😃
Hili jambo bado linajadiliwa na uongozi wa club chini ya rais wake Razorblade pamoja na benchi la ufundi likiongozwa na head coach Gesperin 😂Wewe ni Owen ukibadilika sana ni nakata😃
Wewe matamanio yako ni kocha wa booster 2 tu hata wasingekuwepo hao uliowataja 😂Me ngoja niendelee na safari ya kutafuta 1500 nimchukue huyo kocha wa Ubelgiji...
NEGAN mkuu ukiipitia hiyo pack utanipa mrejesho ni pack nzuri ama niachane nayo...
Ina Anchorman pale mzee wa kazi Onana... Napia kadi ya KDB bado kuna card ya openda na Romelu Lakaka😃
Mcheza kwao...Mashuti ya Nakata nje ya box weka mbali na watoto🙌🙌 dizaini KONAMI wanawapendelea wachezaji wa ki JAPAN
Aah okay ngoja nijiandae kumkaba😃😃Selection 😅spin ,napata 55 hadi 70
Hilo lilikuwa wazi kabisa mbona😃😃Na ni First XI, Trent anaanzia nje 😂