eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kumbe akina mimi na Razorblade na wengine wanakuogopa😂
😃😃Alinikuta sipo form leo plus kichwa kinagonga silali muda mrefu siku hizi masaa mawili au matatu.. leo nataka nilale masaa nane saa tano nipo kitandani...

Kesho nikiamka tuu naamka nae....

Kanifanya nimegundua kuwa beckham hana One touch pass... Nilivyomtoa nikamuweka Bruno tumedraw game zote😃😃 maana kanifunga game zote kwa ajili ya maboko kati 😃😃kwa hiyo kesho nitamfunga ili kumuonesha kauli yake kuwa hakuwa sahihi

Now i stay humble
 
Nimemuelewa, ila mbona hafungi sasa.
Mkuu mie bado najifunza game na wala sina haraka ya kutafuta matokeo uwanjani nachotaka nicheze mpira ambao nitaufurahia na hata mpinzani nikimfunga iwe hivyo kwake.

Courtois ni mzito mahali kama hujampa instruction hajiongezi.
 
Nikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game 😂
Ushawai ona Atletico wanavyocheza mkuu...😃😃me napenda mno..

Ndo mchezo wangu napenda nijue kukaba tuu basi...

Then tukutane uwanjani...

😃😃😃
 
😃😃Alinikuta sipo form leo plus kichwa kinagonga silali muda mrefu siku hizi masaa mawili au matatu.. leo nataka nilale masaa nane saa tano nipo kitandani...

Kesho nikiamka tuu naamka nae....

Kanifanya nimegundua kuwa beckham hana One touch pass... Nilivyomtoa nikamuweka Bruno tumedraw game zote😃😃 maana kanifunga game zote kwa ajili ya maboko kati 😃😃kwa hiyo kesho nitamfunga ili kumuonesha kauli yake kuwa hakuwa sahihi

Now i stay humble
Kitandani unaingia saa 5 ila usingizi kuja saa 7😂
 
Furaha yetu sisi goal tu😄
1000034756.jpg
 
Nilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni 😂
20250519_080636.jpg

Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).

Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?
IMG-20250519-WA0009.jpg

Zinavutia sana aisee.
 
Nilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni 😂
View attachment 3338609
Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).

Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?
View attachment 3338611
Zinavutia sana aisee.
Za 2021 hizo card legend huyu 😃
 
Nilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni 😂
View attachment 3338609
Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).

Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?
View attachment 3338611
Zinavutia sana aisee.
Mkongwe huyo
 
Back
Top Bottom