Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Nikianza kupiga nje ntakuua 😂
Umuue nani...
Afu umejisahaulisha game za mwanzo tulizocheza na kikosi chako😃😃
Umeona dawa ya Amrabat 🤣🤣🤣
Nikianza kupiga nje ntakuua 😂
Kazi nzuri itabidi tufanye mpango wa Night Cup sasa 😂Hii mechi ya kwanza bana 😂😂🔥 dakika ya 11 nishakula chuma 3 sijui nilikuwa nazubaa wapi 😂💔
View attachment 3336576View attachment 3336577View attachment 3336578
Hii mechi ya mwisho nikagongwa chuma 2 bila ile kuchomoa zote jamaa akawasha full def bars 😂🔥 nikasema duh hapa ni kutumia nafasi tu mana nikipoteza ataniadhibu ipasavo
Ndo kama hivo nimeshinda 1 tu 😂💔
Sema humu ndani siku hizi ukikaa hovyo mkono huoHii mechi ya kwanza bana 😂😂🔥 dakika ya 11 nishakula chuma 3 sijui nilikuwa nazubaa wapi 😂💔
View attachment 3336576View attachment 3336577View attachment 3336578
Hii mechi ya mwisho nikagongwa chuma 2 bila ile kuchomoa zote jamaa akawasha full def bars 😂🔥 nikasema duh hapa ni kutumia nafasi tu mana nikipoteza ataniadhibu ipasavo
Ndo kama hivo nimeshinda 1 tu 😂💔
Mkuu ile ni game plan niliyotengeneza na mechi zote nimetumia LBC 😂View attachment 3336586
Umuue nani...
Afu umejisahaulisha game za mwanzo tulizocheza na kikosi chako😃😃
Umeona dawa ya Amrabat 🤣🤣🤣
Hahaha tufanye hivoKazi nzuri itabidi tufanye mpango wa Night Cup sasa 😂
😂😂🔥Sema humu ndani siku hizi ukikaa hovyo mkono huoView attachment 3336588
Tutauana huko uwanjani 😂Hahaha tufanye hivo
Kibonde wa hiyo ligi afukuzwe humu 😂Tutauana huko uwanjani 😂
Tunakuombea banKibonde wa hiyo ligi afukuzwe humu 😂
Master NEGAN atanifundisha tu we kaa kwa kutulia, dawa yako imeanza kuchemka 😂We kaa ukijua kuwa siku unasumbua na LBC possession game inakuongojea😃😃😃
Chini ya nafasi 1 mpaka 3 wanapewa ban ya siku 1 😂Kibonde wa hiyo ligi afukuzwe humu 😂
Binafsi nimejiona nakosa sana utulivu nikiwa uwanjani, ngoja nilifanyie kazi hili kwa siku 2 hizi nitakurudia 😂Hakuna kitu unanitisha kaka sikai kwa kutulia na hakuna kitu utanifanya🤣🤣🤣
Alisikika marehemu 😃😃😃
Sawaa kaka aina noma😃😃Binafsi nimejiona nakosa sana utulivu nikiwa uwanjani, ngoja nilifanyie kazi hili kwa siku 2 hizi nitakurudia 😂
Wakati nahamia huku ulisemaje mkuu🤣🤣🤣NEGAN umetaka nitumie 4-2-2-2 siku nyingi na sasa natangaza rasmi kutumia hii formation 😂
View attachment 3336592