Nimekumbuka after kucheza nikiwa nimeamia kwenye 4222 ulinifunga game moja tatu moja ya pili tukadraw sijui 😃Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.
Nilikuwekea mbappe mbavuni kukuonyesha kuwa huo mfumo wako utakuwa ukifungwa sana kutokea pembeni.
Mlete matokeo na video ikiwezekana😃 wewe focus na Amrabat tu😃😃😃😃Sawaa kaka nisiongee sana😃😃😃tukutane leo usiku
Tiktok nadhani huwa wana option ya kustream game za hivi itabid tutafute namna ya kufanya hichi kitu siku moja moja wawili wanapiga game wengine tunawachek😃😃😃Mlete matokeo na video ikiwezekana😃 wewe focus na Amrabat tu😃
Nimemsogeza Baston hapo mbele nione kama atakata umeme vzr...Mlete matokeo na video ikiwezekana😃 wewe focus na Amrabat tu😃
Yaani unamvuta Amrabat akipress unabaki wewe na mabeki😃Nimemsogeza Baston hapo mbele nione kama atakata umeme vzr...
Ana one touch pass na fotress pia
Kwahiyo hukumbuki siku niliyokuambia twende uwanjani nikakuonyeshe udhaifu wa mfumo wako 😂Kaka kama kumbukumbu zangu zipo vizuri mfumo huu tumechezea mchezo wa mwisho achana na ya leo usiku...
Unakumbuka kilichotokea😃😃View attachment 3331725
Amrabat me simuwazi atakutana na mtakatifu Pedri Gonzalez😃😃Yaani unamvuta Amrabat akipress unabaki wewe na mabeki😃
Mkuu huyu kupita kwa Amrabat hawezi labda atumie pasi ndefu ila siyo battle nae 😂Mlete matokeo na video ikiwezekana😃 wewe focus na Amrabat tu😃
Last two meetings hujanifunga mkuu na nimekuoutplay game nyingiKwahiyo hukumbuki siku niliyokuambia twende uwanjani nikakuonyeshe udhaifu wa mfumo wako 😂
Mkuu huo mfumo si umefanya marekebisho kidogo tu ni uleule 4-2-2-2
Wewe twende hata saiv🤣🤣🤣Mkuu huyu kupita kwa Amrabat hawezi labda atumie pasi ndefu ila siyo battle nae 😂
Binafsi sijajua mkuu...Kuna moja nimeona sijajua ni DLS au efootball,wameifanyia modding ina mpaka timu za bongo
Beki zangu hazina speed akifanya hivyo atawin lakini sasa unaempa hiyo mbinu yeye hachezi mpira wa hivyo 😂Yaani unamvuta Amrabat akipress unabaki wewe na mabeki😃
Huyo pedri hachezi mwenyewe mkuu ni wewe ndo unaemchezesha ila kama hutaki kukubali kuwa umeimprove basi sina usemi tena.Amrabat me simuwazi atakutana na mtakatifu Pedri Gonzalez😃😃
Razorblade sijaimprove ila nimepata right AMF Pedri angalia ninvyocheza siku hizi ananipa kile ninachotaka😃😃
Naelewa na wala mie sizungumzii hizi mechi, nazungumzia mechi zile ambazo ulirudi kucheza tena 4-2-2-2Last two meetings hujanifunga mkuu na nimekuoutplay game nyingi
Leo nataka nimalizane na event ya PvP kwanza.Wewe twende hata saiv🤣🤣🤣
Me najiona bado ndo maana sitaki kukubali😃😃Huyo pedri hachezi mwenyewe mkuu ni wewe ndo unaemchezesha ila kama hutaki kukubali kuwa umeimprove basi sina usemi tena.
Sawaa kaka😃ila huu ndo mfumo wangu siku hiziNaelewa na wala mie sizungumzii hizi mechi, nazungumzia mechi zile ambazo ulirudi kucheza tena 4-2-2-2
Aina noma kakaLeo nataka nimalizane na event ya PvP kwanza.