Owaa kumbe ni Id yako🤣🤣🤣🤣me hata sijui nilishasahau nikajua ni moja ya watu wangu wa Online😃😃😃Kaka huyu si ndio mimi mbona nimepigika kipigo kitakatifu hivyo😅🙌
Dah kikosi chako kwel 🤣🤣🤣 nilisahau kama ni Username yako...View attachment 3324682
Daah kwa tabu sana.maana kila ikibaki game moja ndo unafungwa😅View attachment 3324684
Ngoja aje mie muhimu asiwe na booster tu 😂.😃😃😃Omba awe defensive maana konami hawachelewi kumpa offensive 😃😃
Umeona nilivyoyakanyaga leo😃😃afu mekuja kutamba kumbe team Efootball mwenzetu🤣🤣🤣Ngoja aje mie muhimu asiwe na booster tu 😂.
Huyu jamaa huwa namkwepa hata nikimkuta online 😂.Ila haram Football ni hatare naomba tu niishike vizuri..
Game ya kwanza nimejikuta naenda toe toe na huyu jamaa kanipiga tano😃nunge na bila shoot hata moja
View attachment 3326692
Game ya pili nimeingia tena hvyo hivyo jamaa akanipiga nne kipind cha kwanza 😃😃😃nikasema imeisha hapa nizuie tuu
Nikaanza haram Football kilichotokea🙌jamaa hajaamini kabisa na kikosi chake cha 3150View attachment 3326694
Nilichogundua uwanjani kazi yangu ni kukaba tuu basi😃😃na kuongojea nafasi mpira mzuri nauacha😃😃
Me sikujui kama ndo Id yake 🤣Huyu jamaa huwa namkwepa hata nikimkuta online 😂.
Niwe mkweli tu hii harram football hainifanyi niburudike ndiyomaana naitumia kwenye dvn tu kwasababu ndiyo mpira unaotumika kule kwa asilimia kubwa.Idumu haram football idumu😃
Njoo nae nikushow
Hiyo inaitwa ulipo nipo 😂.Umeona nilivyoyakanyaga leo😃😃afu mekuja kutamba kumbe team Efootball mwenzetu🤣🤣🤣
Harama unatumia pale mbinu zote zimegoma au mpinzani wako unaona kabisa kakuzidi uwezo kila pass ana intercept. Au imebaki mechi moja upande hapo ndio inatumika.l si muda wote.Niwe mkweli tu hii harram football hainifanyi niburudike ndiyomaana naitumia kwenye dvn tu kwasababu ndiyo mpira unaotumika kule kwa asilimia kubwa.
Ukizoea harram football ni ngumu kufurahia game labda iwe unataka tu matokeo na siyo kupata matokeo kwa kucheza mpira mzu
Achana nae
Weka id hiyo tumpige Totti😃Njoo nae nikushow
Mitano tena 😂.Me sikujui kama ndo Id yake 🤣
Nilikagua vizuri kikosi changu nikamkuta wa England, nimeachana nae.Achana nae
Angalia nguzo za magoli yako yako ziko sawa maana totti kuziangusha nikufikia tuWeka id hiyo tumpige Totti😃
Kabisa mkuu ukitumia muda wote unakuwa kama beginner.Harama unatumia pale mbinu zote zimegoma au mpinzani wako unaona kabisa kakuzidi uwezo kila pass ana intercept. Au imebaki mechi moja upande hapo ndio inatumika.l si muda wote.
Ukicheza haram hutengenezi chance nyingiKabisa mkuu ukitumia muda wote unakuwa kama beginner.
Ila ukipata nafasi ukashinda mpinzani atakoma maana mpira muda wote uko juu kama drone 😂.Ukicheza haram hutengenezi chance nyingi
Nani anacheza hivyo, ajeIla ukipata nafasi ukashinda mpinzani atakoma maana mpira muda wote uko juu kama drone 😂.