EFD: Wafanyabiashara Kariakoo wagoma!

EFD: Wafanyabiashara Kariakoo wagoma!

Nchi nzima si balaa hili.
Hapa serikali inatakiwa iwasikilize wafanyabiashara lakini hizo mashine zitumike ili ukwepaji kodi usiwepo..

kodi lazima wabongo wengi wamezoea usanii tu.
 
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na bora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja moaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.

Sasa huo kama si ujinga ni nini?

Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye sogtare ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quickbooks mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.

Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutuia hata komyuta toka kuzaliwa inakuwaje?

Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.

Waje na kitu mbadala.

Kama wewe mtaalam inakusumbua, basi kwa wenzangu na mie shughuli ni pevu.
 
Wafanyabiashara wanaona shida kulipa kodi, hata wafanyakazi nao wangepewa fursa ya kujadiliana na serikali wasingekubali kukatwa payee, hapo wafanyabiashara lazima wafahamu kulipa kodi ni suala la lazima, hakuna mjadala labda kama kodi ni kubwa sana.
 
Hawa watu hawataki kulipa kodi halafu wanajifanya kugoma wapolwe leseni basi hakuna kuwabembeleza.

Sio kwamba hawataki kulipa kodi. Mashine ile EFD ni mali ya TRA. Kwa nini wauziwe? Ishu ni kwamba, iwapo utanunua mashine hio kwa fedha zako, siku ukifulia ukafunga biashara yako basi mashine inabaki yako, utaifanyia nini? Pili, wamelazimishwa kununua mashine hizo toka maduka machache tu, kwa bei kubwa kulikobei ya soko. Kwa nini wasifanye iwe biashara huria? Mbona Coca na Pepsi, TBL, Serengeti na kampuni nyingine za vinjwaji wanatoa mafriji bure! SIku ukifilisika na kufunga biashara wanachukua friji lao. Why not with EFD? Tusiwatukane tu wafanyabiashara bila kufanya analysis kidogo. Wasikilizwe ili walipe kodi!
 
Mgomo tena Leo.

wafanyabiashara wa kariakoo.wamefunga maduka yao kwa muda usiojulikana kutokana mgomo wa mashine.

Tunaendekeza mambo ya kijinga sana nchi hii. Kila kitu siasa tu. Kama wamegoma waachwe hivyo hivyo na kama sheria ingeruhusu wapokonywe leseni zao. Najua kutakuwa na mahangaiko kwa muda fulani lakini hakuna dawa nyingine. Watakaotaka kufanya tena biashara waelewe kwamba bila hizo machine hakuna leseni. Waache biashara tuone kama wataenda kulima. Kwa hili serikali ikomae hadi mwisho. Mbona siku nyingine wanafunga biashara zao kwa hiari yao wenyewe.

Wakiendeleza mgomo, serikali ikaribishe wafanya biashara wengine. Kwanza hao jamaa wa Kariakoo wamejaza misukule ndani ya biashara zao. Ni wacheche wanaofanya biashara bila mambo hayo
 
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na bora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja moaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.

Sasa huo kama si ujinga ni nini?

Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye sogtare ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quickbooks mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.

Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutuia hata komyuta toka kuzaliwa inakuwaje?


Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.

Waje na kitu mbadala.
Dada FaizaFoxy nimekupenda Bureee! ukitulia tu ukauweka uchama na unazi pembeni,unaandika kisomi sana, japo najua sometimes huwa unacoment upuuzi just for funy na kuchemsha akili za watu. So suluhisho ni nini mama juu hili jambo ,unafikiri nini TRA wafanye, maana kulipa kuodi ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Serikali imeshalegea, wafanyabiashara wanawaendesha watakavyo
 
FaizaFoxy said:
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na bora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja moaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.

Sasa huo kama si ujinga ni nini?

Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye sogtare ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quickbooks mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.

Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutuia hata komyuta toka kuzaliwa inakuwaje?


Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.

Waje na kitu mbadala.

Kwanza kabisa, asante sana kwa kuwafungua macho watu... Sidhan kama ni sahihi kuleta system ambayo inajulikana kabisa ina-conflict na other softwares au inawalazimisha wananchi kuingia gharama mpya ambazo hazikuwepo katika mchakato wa kwanza...

My take; ninafahamu vishafanyika vikao vingi sana, hadi vingine viliwahusisha viongozi wakuu wa nchi... Nafikiri sasa ni wakati muafaka swala hili liangaliwe kwa mapana na kitaalamu zaidi badala ya kisiasa...
 
Hebu wafanyabiashara msaidie wananchi kujibu maswali yafuatayo:

Shida ya EFD ni:

1. Bei yake kuwa juu..?
2. Inakata kodi nyingi kuliko inavyostahili..?
3. Hazifanyi kazi kiasi cha kuleta usumbufu wa kufanya biashara..?
4. Kodi haziendi TRA bali kwenye mifuko ya watu..?
5. .......

Mkisaidia wananchi kutoa majibu ya kwanini migomo, mtawatoa watu matongotongo... Kama mlishawahi kutoa ufafanuzi, tungependa kuupata; labda ulitupita wengine..

"like" like!
 
Dada FaizaFoxy nimekupenda Bureee! ukitulia tu ukauweka uchama na unazi pembeni,unaandika kisomi sana, japo najua sometimes huwa unacoment upuuzi just for funy na kuchemsha akili za watu. So suluhisho ni nini mama juu hili jambo ,unafikiri nini TRA wafanye, maana kulipa kuodi ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya nchi

Suluhisho ni sahali sana, wafanye kama walivyofanya Singapore. Hakuna asiyelipa kodi na hesabu zote computerized, waende wakaone wenzao wamefanya nini.

Unajuwa Singapore hata vi faini vya mtu sijuwi kala chwingam njiani, katema mate, wanalipia madukani.

Hivi hii mijitu huwa haioni au basi hujifanya ni mapunguani tu, michaga imejazana huko TRA inafanya nini? zaidi ya kuiba tu? Inaonesha ikipewa safari za nje kazi yao ni kulewa tu na hawaoni wala hawajui wanaenda kufanya nini.
 
Hakuna mfanyabiashara kariakoo anaye kataa kulipa kodi ila ukitoa mzigo china una ulipia kodi bandari yani pamoja na T.R.A mzigo huwo huwo ukifika dukani ukiuza uulipie tena! Sasa hayo si maajabu kweli tunajua bila kodi nchi haiendi ila kodi bandari kodi dukani mzigo huwo huwo kodi kwenye pango lanyumba sasa wengine mitaji yetu tumekopa baba zetu si mafsadi wakuliwa wajembe la mkono, nch itaingia gzani si kwa umeme2 hata nahli pia
 
Hawataki kulipa kodi? Wao si maajenti tu wa kukusanya kodi? Hapa serikali inabidi ikae kimya, wakipitisha siku tatu iwanyanganye leseni zao za biashara kuonyesha kuwa 'the system works..'

Kweli mkuu hapa serikali inachotakiwa kufanya ni kutoa amri kwa mtu ambaye hawezi kufanya biashara arudishe TIN.Uone kama kuna atakayethubutu.Wengi wao wanatumika tu bila hata kujua nini kazi ya hizo mashine kama unavyojua biashara nyingi za kariakoo ni ijanja ujanja tu wanaona hapo itakuwa mwisho wao.NA SERIKALI IKIZIDI KUWABEMBELEZA ITASHINDWA KUFIKIA MWAFAKA.
 
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na ubora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja mpaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.

Sasa huo kama si ujinga ni nini?

Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala, wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye software ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quick-books mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.

Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutumia hata kompyuta toka kuzaliwa inakuwaje?

Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.

Waje na kitu mbadala.

Tuipongeze Serikali ya CCM kwa kubuni na kuanzisha matumizi ya mashine za EFD. Tusiibeze kwa kutamka kwmba "kama huo si ujinga ni nini?" Tutambue kwamba serikali yetu sikivu lazima ikusanye kodi kwa bidii isipotee hata shilingi ili kumwezesha Mh. Rais kukwea pipa kwenda ughaibuni kuhemea "kibaba" ili sie wanae tuweze kuishi.

Tukumbuke kwamba kwa kipindi hiki serikali ina jukumu muhimu la kuhakikisha kwamba pesa ya kulipa posho ya wajumbe wa bunge la katiba ambayo ni sh. 700,000/= kwa siku inapatikana. Hata zikikopwa tusiogope kwani trilioni 27 si nyingi sana tunaweza kuimudu, ni suala la kuwapandishia kodi wafanyabishara kwani kwa hizi EFD hawana ujanja wa kukwepa tena. PAYE ya wafanyakazi nayo iongezwe ili pesa zipatikane na hazina ijae.

Nyie mnaopinga mmekosa sana uzalendo, nyie mnataka mpendwa wetu Mwigulu Nchemba uliyeingia pale hazina akalie hazina isiyo na kitu? Au mnasahau kwamba mwaka 2015 kuna uchaguzi? Ruzuku za vyama zitatoka wapi bila kushau pilau ya wapiga kura, tisheti, kanga na gharama za kukosisha mafuso ya kutosha kusomba wapiga kura? Kuweni na uzalendo na hasa wewe Faiza Fox!
 
Hakuna mfanyabiashara kariakoo anaye kataa kulipa kodi ila ukitoa mzigo china una ulipia kodi bandari yani pamoja na T.R.A mzigo huwo huwo ukifika dukani ukiuza uulipie tena! Sasa hayo si maajabu kweli tunajua bila kodi nchi haiendi ila kodi bandari kodi dukani mzigo huwo huwo kodi kwenye pango lanyumba sasa wengine mitaji yetu tumekopa baba zetu si mafsadi wakuliwa wajembe la mkono, nch itaingia gzani si kwa umeme2 hata nahli pia

Mkuu hivi unajua kuwa kuna aina nyingi za kodi? Hususani kwa mizigo ya biashara inayotoka nje? Hapa kinachozungumziwa ni kodi ya mapato kwenye hizi mashine kwani wafanyabiashara wengi hususani hapo kariakoo mnafanya biashara kiujanja ujanja, na hamuweki wazi mauzo yenu kwa mwezi pale mnapokadiliwa kodi au hata wale waliojisajiri na VAT.Haiwezekani mtu analipia pango la flem la mpaka 2m kwa mwezi anataka alipe kodi ya laki sita kwa mwaka huu ni ujinga..Ila serikali inachotakiwa kufanya ni kusema ambaye hawezi kufanya biashara arudishe TIN.Mbona wengine tunazitumia yapata miaka miwili sasa? Na wengi wenu hata elimu juu ya mashine hizi hamna unakuta mtu mzima mbele ya tv anasema haiwezekani eti kwa kila mauzo ya milioni inakata laki nne!!!! Unabaki na laki sita??? Inakupa picha kuwa watu wanacheza mziki ambao hawaujui.
 
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na ubora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja mpaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.

Sasa huo kama si ujinga ni nini?

Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala, wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye software ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quick-books mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.

Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutumia hata kompyuta toka kuzaliwa inakuwaje?

Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.

Waje na kitu mbadala.

FaizaFoxy sijasikia uwepo wa window 2007. Au ulitaka kusema window 7 ????
 
Last edited by a moderator:
Hayo ndio matokeo ya kuchagua mafisadi.

Watanzania kazi kukalamika wakati mnakumbatia mafisadi

Mimi nasema wapigwe tu maana tumechoka!

CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
hii serikali hivi hizo kodi huwa inafanyia nini? manaake miaka hamsini ya uhuru ila matatizo ni yale yale.enyi wanasiasa msitudanganye hii nchi ina kila kitu ambacho kinaweza kutufanya tuwe na maendeleo kuliko nchi yeyote Africa,ukiangalia watu wanaoiba fedha za serikali mnawafahamu wazi wazi ila mnaona mtuletee na mbinu mpya ya wizi,i swear ipo siku watanzania watachoka ndo mtakapojua.mi sioni umuhimu wa kukusanya hizo kodi manaake wanasiasa walio kwenye utawala hela zetu mna t.o.m.b.e.a tu.
 
Back
Top Bottom