sio kila mashine ina kata 18%Anyways..mashine zinaweza kua ni tatizo kwamba bei yake iko juu..ila tukiangalia kinachowapa hasira wafanyabiashara wengi ni ile 18% ya VAT ambayo inasababisha bei ya bidhaa zao kuwa juu na wengi wanahofia kupoteza wateja na pia wengi wao sio wakweli mana walikua wanapeleka hesabu za uongo TRA ili walipe kodi kidogo, sasa mashine zinakuja kuweka ukweli waz na watu hawako tayari kupoteza pato lao!
14m hadi 3999999 mashine inakata 0%
40m hadi ..................................18%
watu wanahofu mashine ikirekodi imerekodi haifutichi karne na karne
kwa hiyo ujanja hamna