Hapa jk anaingiaje kwani yeye ni waziri wa viwanda na biashara?
Waziri wa Viwanda na Biashara anateuliwa na nani? Tumia kichwa chako vizuri.
Hapa jk anaingiaje kwani yeye ni waziri wa viwanda na biashara?
we unajua kodi tunayolipa inakwenda wapi? Au na wewe ni walewale? Watu wanazunguka dunia nzima kuomba omba tu huku wanajiongezea kiinua mgongo bungeni alafu vijijini hamna kitu. We unashabikia uzuzu?
Mwigulu yuko wapi? Niliona Mbeya na Songea wakimuita Jembe wafanyaBiashara.
Sasa ni wakati wake kufika KKo ili athibitishe Ujembe wake.
mdau unadhan wafanyakaz ndo tunapenda kulipa kod??lebda wewe,hakuna binadam anayependa kulipa kodi,sema hivi wafanyakaz kwakua tunakatwa moja kwa moja,ila kama ingekua tunalipwa then tunapeleka kod mahali tulipoelekezwa,aaa wapi tusingelipaTunataka barabara nzuri, tunataka hospitali zenye huduma nzuri, tunataka huduma nzuri za maji bila kusahau tunataka Elimu bora na ya bure.HII INAWEZEKANA TU KAMA TUTALIPA KODI MBONA WAFANYAKAZI WANALIPA KODI BILA TATIZO.LIPA KODI KWA MANUFAA YA NCHI YAKO
Hawa watu hawataki kulipa kodi halafu wanajifanya kugoma wapolwe leseni basi hakuna kuwabembeleza.
Tatizo si mashine, tatizo ni bei ya hizo mashine na bora wa hizo mashine, mimi nimenunuwa moja moaka leo wameshindwa kuiunga kwenye kompyuta yangu, wananambia nibadili software kutoka windows 8 kurudi nyuma kwenye windows 2007.
Sasa huo kama si ujinga ni nini?
Na hakuna pakulalamika nimeshakwenda mpaka TRA wananambia mfate wakala wakala anataka nibadili software au ninunuwe kompyuta yenye sogtare ya kizamani na ibaki kwa kazi hiyo hiyo tu, wakati mimi nnatumia excel na quickbooks mpya kwa rekodi zangu za mahesabu.
Hizi EFD ni mzigo tu, ikiwa mimi ambae nna uzoefu wa hii teknolojia ya kompyuta zinanipa taabu seuse mfanya biashara wa Kariakoo ambae hajawahi kutuia hata komyuta toka kuzaliwa inakuwaje?
Teknolojia za elektroniki zinatakiwa ziondoe matatizo na zirahisishe kazi na zisidishe matatizo.
Waje na kitu mbadala.
Kuwapokonya leseni sio suluhisho, hao TRA ndio wanaharibu katika hizo mashine. Suala ni kukaa na kusikiliza madai yao.
mkuu simiyu kijana wa lumumba wale wa b7nashindwa kumwelewa huyu jamaa ana akili mgandoWaziri wa Viwanda na Biashara anateuliwa na nani? Tumia kichwa chako vizuri.
mwanza hamna mgomo
maduka yapo wazi kabisa hapa ila kulikuwa na tetesi za mgomo