Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Huyo jamaa huwa ni msanii wa maigizo, inawezekana kabisa anafanya maigizo ambayo ndo fani yake
 
Lowassa, Ngereja, Muhongo wote wana madoa ya ufisadi. Walijiuzuru nafasi zao za uwaziri. Kwa nini basi umsakame Lowassa tu.

Labda kwa aina ya luwasa jinsi alivyo jinasibu na nguvu alizo tumoa kujitambulisha na kujikusanyia wadhamini
 
lowasa akikatwa na cc ya ccm patachimbika by kingunge. nasubiri pachimbike hapo dodoma.
 
Au akipita geuka kuwa shoga tukujue umechukia... sbb anapita ukiona..andaaa kabaang haraka...!!!
 
Hivi kuna kipindi kigwangala aliwahi kukamatwa yeye na mkewe kwa tuhuma za kugawa maandazi kwenye uchaguzi nzega au?sijui hio moral authority anaitoa wapi
 
wana jf mkisikia lowasa amepita tano bora kwenye cc mjue mchezo umekwisha. lowasa kwenye NEC na mkutano mkuu ana wajumbe wengi sana....
 
Wapambe wa Lowasa wamekwisha jihakikishia ushindi na hivi sasa wanaandaa sherehe hapa Dodoma!! Hivyo matokeo yo yote kinyume na matarajio yao yatawachefua na hiyo kuleta sintofahamu katika mkutano mkuu!!!

Kumbuka kuwa wapambe wa Lowasa ni pamoja na vigogo wa chama!!! Baadhi ya mawaziri, wabunge, wenyeviti wa mikoa na wilaya nk!!!
Mkuu,
Ushindi upi huo ambao hata hatua ya kwanza ya uteuzi haijafanyika?

Kama wangekuwa wana uhakika na ushindi basi usingeona huu wasiwasi katika kambi ya Lowassa ambao unapelekea kuonyesha kama wanapambana na CCM wakati hata wao ni CCM.
 
Tayari amepitishwa,meza kisu chako.
Umesahau kuwa nyota njema uonekana asubuhi
 
Lowassa Lowasa kila mahali wacheni akatwe tu
bora apumzike au akubali tu hata uMakamu

umakamu wa kubeba mikasi kukata utepe mmmmh! si bora aende act maana alikwisha karibishwa na don zito
 
kweli kabisa na ninaamini kuwa JK na Lowasa wata compromise kama kweli kuna tofauti kati yao, japo binafsi naona wanayofanya ni mbinu yao ili waonekane hawapatani mbele ya jamii lakini akili ni mkichwa.
Kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii waangalie wahasimu Karume Jr na Komando, unafahamu Karume alimfanya nini Komando? Fuatilia, lakini mambo yalienda kimya kimya kifo cha kondoo na wala siyo ya mbuzi kama wa bara
Mkuu,
Angalizo lako linaweza kuwa ni kweli hasa ikichukuliwa Rais Kikwete ni kiongozi asiyeeleweka katika misimimo mingi.

Rais Kikwete hupenda kusema ''akili ya kuambiwa changanya naya kwako''.

Kuna kitua ambacho hatukifahamu lakini ninachofahamu Lowassa hawezi kuondoka CCM kama bado anaamini CCM bado inachagulika katika kiti cha Urais wa Tanzania.
 
umakamu wa kubeba mikasi kukata utepe mmmmh! si bora aende act maana alikwisha karibishwa na don zito
ACT ndio anakifadhili kwa upande mmoja
ila anajua akienda huko ndio atakufa kisisasa kwani badala ya yeye kuwaonesha kina Balali na Mgimwa walipo
yeye ndipo wayakapo mkaanga mpaka hiyo Alphatel, Symbion na ulaji wake wote utakapozimwa km mshumaa
mwache abaki Chama alichopo aambulie hata kukatakata tepe
tusubiri bado masaa 24 tu
 
Vbaraka wa membe hao njaa kali na techno yake mezan...membe is weak na anatumia weak technique na atajutia hzi fujo anazozfanya
 
Back
Top Bottom