Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Kazi ya Diallo hiyoooooo....

Tunajua Diallo anafanya nn...wenye vichwa vya kuku hawataelewa...!!!
 
huyo ni mhuni ndio hawa tunaotaa watulidishie chama chetu maana wanatumikaa kwa maslahi ya wakina membee na dialoo
 
Mulongo na huyo dogo wanajulikana kuwa ni Team Membe... huwezi kuzuia movement za watu .... Haya maigizo yanajulikana na hata Mtikila anaendelea kucheza sehemu yake .... bado King Majuto tu .... Itoshe kusema kuwa Lowassa hazuiliki kijinga ..
 
Lowassa Lowasa kila mahali wacheni akatwe tu
bora apumzike au akubali tu hata uMakamu
 
Kumeza kisu huwezi ila Unaweza kujiwekea Nazir ya kujitia Kidole kama kawaida yako .... Lowassa ndo Rais wa JMT 2015 - 2020...
watoto wenye suruali zenye zeep kwa nyuma ndo mnampenda Lowassa
 
Huko ndiko kujitambua na wewe ni mfano wa watanzania wanaoweza kusimamia kweli! Keep it up Hussein, a symbol of new generation leadership!
 
HATARI, HAWA MADOGO WA UVCCM MZA WAOMBE MUNGU JINA LA BWANA EDO LOWASA LIKATWE, NAMUAMINI SANA MMASAI YULE ALIVYO NA HASIRA,

NA AKIWA PRESIDAR WATAFUTE NCHI YA KUKIMBILIA KWANI ALIVYO MTU WA VISASI NAWAONA WAKIPOTEZWA AU KUTOSWA MIKUMI KT KUNDI LA SIMBA KM KITOWEO AU WATAFUTE NJIA PIA MLANGO WA KUTIMKIA AKI OTHERWISE PATACHIMBIKa
 
Vijana wanaendelea kutumika kama toilet paper..😕
 
Hapa ndio penye ukweli japo mchungu kuumeza,huyu jamaa tangu CCMwashindwe kumvua Gamba back then,sasa hivi kina Nape wasingekuwa wanahangaika kurusha vijembe vya "hasafishiki kwa dodoki".But hii come back yake from kuanguka 2008 na sasa ndio kinara anaiyumbisha CCM,tujiandae tu kisaikolojia.
Mkuu,
Kama atapitishwa, hao hao waliokuwa wanapiga kelele watakuwa ndiyo wauzaji kwa wananchi!

Viongozi wa CCM wanafahamu sana sanaa ya unafiki ambayo wao wanaita mshikamano!
 
Angalia hesabu hizi

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kigezo [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji Agustino Ramadhani [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Edward Ngoyayi Lowassa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Umri [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Miaka 70 [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] 62 [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu ya juu ngazi ya shahada [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uzoefu wa kazi [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kazi alizofanya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji, mwanajeshi, mchungaji [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu. [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Historia kazini [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kugombea urais [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ameombwa agombee tena ameombwa sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya yake ni imala sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya ni mgogoro mala nyingi huenda Ugermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu [/h] [/TD]
[h=1] [/h]

Unajua maana ya mtanganyika?..kamchambue huyo jaji nchini kwao tuachie tanganyika yetu..tunamtaka rais mtanganyika..mkuu..mengine hayatuhusu!
 
Kazi ya Diallo hiyoooooo....

Tunajua Diallo anafanya nn...wenye vichwa vya kuku hawataelewa...!!!

Humu ndani kuna watu naona wanalipwa pesa nyingi ili kuja kutakasa kila aina ya uovu unao wa huyo bwana mkubwa ukiwemo we jamaa unayejiita president.Hawana hoja zaidi ya kutirirish matusi tu. watu wanaripoti vitu tena vingine vyenye ushahidi. wao wakija utasikia oooh team membe at work. au mmetumwa na Ngereje sijui Wasir nk. Tumewabaini. Ila mjue hamuwezi ondoa fikra pevu za wenye akili zao. Mwisho wa kazi yenu kesho.
 
Chama cha wanafiki wanaleta unafiki kwa kutumia unafiki, kama lowassa ni fisadi kuliko wote kwanini siku zote mkae kimya wakati mnajua mpaka anapoishi na mkashindwa kumkamata wakati mna dola na mamlaka yote? Acheni siasa za maji taka. Wote mafisadi tu kaeni kimya vinginevyo jiangalieni kabla ya kumnyoshea lowassa kidole.
 
Angalia hesabu hizi

Kigezo

[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji Agustino Ramadhani
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Edward Ngoyayi Lowassa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Umri
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Miaka 70
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] 62
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Elimu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Elimu ya juu ngazi ya shahada
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uzoefu wa kazi
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uadirifu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kazi alizofanya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji, mwanajeshi, mchungaji
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu.
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Historia kazini
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kugombea urais
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ameombwa agombee tena ameombwa sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Afya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Afya yake ni imala sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Afya ni mgogoro mala nyingi huendaUgermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu
[/TD]

mada nzuri ila kiswahili chako kinamuaibisha mwalimu wako wa kiswahili na taifa kwa ujumla mfano mala badala ya mara, ugerman badala ya ujerumani, nk
 
Njooni na majibu sahihi ya Richmond bail. 21, escrow bil. 320 na ripoti ya CAG ya juzi bil. 830 achana na epa na nyingine nyingi mtuambie hizi pesa zote zimeenda wapi mnabaki kuchangisha wananchi shs 50,000/- za maabara. Tunataka kujua wangapi wapo jela kwa sababu ya wizi huu vinginevyo msimseme hata mmoja kuwa ni fisadi maana wote ni mafisadi tu hata kuliko huyo mnayemnyoshea kidole.
 
Back
Top Bottom