KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
Mzee Mangula kalipiza kisasi
Walimfanya alime nyanya
Sasa anawafanya wachunge ng'ombe
Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
Ha ha ha haaaaaaa....
Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh...
Subirini taarifa rasmi kutoka CCM ndipo muanze kupiga soga zenu.
Mzee Kingunge na waganga wake wako wapi?
Pole sana Lowasa na team yako.Pamoja na kutokuunga mkono,ila huruma imeniingia sana baada ya kusikia habari za kukatwa.Ningependa kujua kwa sasa mzee upo wapi na u hali gani?
Wakija hapa nakunya boga
Pole sana Lowasa na team yako.Pamoja na kutokuunga mkono,ila huruma imeniingia sana baada ya kusikia habari za kukatwa.Ningependa kujua kwa sasa mzee upo wapi na u hali gani?
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu
Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata
Teh teh hilo boga litapita wapi mkuu
I was TeamLowassa tumeshakubali kwani baba yetu yule hata angepita tusingefaidika na chochote ni ushabiki tu ule life's going on