Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Lowasa aende kula malimau/ndimu na Gwajima
Yaani nimefurahi kweli maana walikua wananikera kupita Watu hata hawajiongezi unahongwa ili ushabikie unakubali nikajua wengi hawaipendi hii nchi wanapenda vijimaslahi vyao vya muda mfupi hureeeeeeeerrr Dr. Slaa chukua nchi mafisadi yanyongelewe mbali
...aende kwenye mlango mwingine ila aangalie asiingie wa choo cha wafungwa hatatoka salama ....
Ha ha ha haaaaaaa....
Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh...
Kwa umri wake,
Afya yake,
na viwango vya anavyokimbizana nao,
ni heri tu akapumzika kwa amani.
... Ukawa njia nyeupeee
Najiuliza sana kuhusiana na hizi gharama alizo inject kwenye kutangaza nia!this is true,lakini unakuwa umewatukana mwandosya na jaji ramadhani kwa kuwapitisha makamba,migiro na membe.Hao hawafai hata uwaziri ila kwenye serikali isiyo makini ya jk walipeta na wanaendelea kupeta.