Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
ACT haipokei wezi
Mbona inasemekana yeye ndio mwanzilishi wa ACT??
ACT haipokei wezi
Nimefurahi sana EL kuondolewa. Ila sijafurahi kuona jina la Membe.
ACT haipokei wezi
Kikao chao cha sasa hivi EL amekubali kushindwa na bashe ametangaza nia ya kugombea ubunge nzega mjini hajasema chama ila chadema kuna dalili zote.
Mchujo unaendelea kesho sa4 watatolewa wawili na kubaki watatu pia mchujo utaendelea mpaka abaki mmoja.....
Hili ni pigo kubwa kulikoAjari nyingine ya kisiasa kakumbana nayo
panachimbika hapachimbiki? updates yoyote kama kunachimbika jamani..cc kingunge
maamuzi yameshatolewa ndo hayo kubaliana nayo tu hata kama hukujiandaa kisaikolojia. Japo ulijiapiza kuwa huwezi kukatwa kwa vile eti upo ccm tangu kuanzishwa kwake lakini ndo hivyo tena yamekuwa hata wenzako pia walikuwemo vile vile.
Ulizua misemo mingi kipindi hiki kama vile hakatwi mtu, patachimbika, huwezi kuzuia mafuriko, yote hiyo ilikuwa ni mikwara yako ambayo labda kwa namna moja ama nyingine imekuponza kwa vile ulikuwa kama unaitishia ccm na ngazi zote za juu za maamuzi na uteuzi.
Najua imekuuma sana kutokana na jinsi ulivyokuwa umeikamia nafasi hiyo ya juu kabisa kitaifa lakini kumbuka asiyekubali kushindwa si mshindani. Siasa ndo zilivyo hata wewe unazijua.
Kwa heri mzee wa safari ya matumaini amini tu kuwa umeshakatwa na hakuna rufaa.
Pole sana pia wapambe na wafuasi wake wote.
Bado unayo nafasi ya kuondoa umasikini katika nchi kwa vile ulisema unakerwa nao.
Ni mimi mpiga kura wa kawaida nisiyefungamana na chama chochote. Nasubiri october nimkate mmojawapo kati ya ccm au ukawa.