Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,013
Nevertheless, bunge la mwaka 2015, ataunguruma sana kumbomoa JK na mtandao wake, atahakikisha walomtundika msalabani kwa Richmond, wanasulubiwa!, yeye atasafishwa, atatakatishwa, atakaswa, atapakwa mafuta tayari kwa 2015, kama ni kweli yuko fit, basi mkae mkijua, kama CCM watamsimamisha Lowassa, 2015, ni CCM Tena!.
Mkuu Pasco,
Najua wewe ni mfagiliaji wa El toka zama! Nakuhakikishia hapo kwenye red, "over JK's dead body" Hawa jamaa wamekwisha patanishwa na ikashindikana, kisa unafiki na ukigeu geu wa JK. JK ameshajulikana msimamo wake si kumuunga mkono EL, and this is very open to themselves! At the same time, EL anaapa it is either him or CCM dies! Hapa ndipo ninapoungana na wewe kwenye post yako juu kuwa kwayo EL, upinzani utaingia madarakani!!!
My opinion is, EL ni mgonjwa na kwa hali ile hawezi kabisa kugombea 2015, ninachoweza sema anaweza kuweka kijana wake muaminifu, possibly Dr. Nchimbi.