The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Ndio maana tulifika tulipofika, sasa "HAPA KAZI TU!" tulia tunyolewe nidhamu irudi kama Taifa!!!
Nidhamu hairudi kwa vitisho, mjinga wewe.
Ndio maana tulifika tulipofika, sasa "HAPA KAZI TU!" tulia tunyolewe nidhamu irudi kama Taifa!!!
CCM wanawaza kucheza na katiba ili muda wa uraisi usiwe na ukomo, wewe unashangaa la Chadema?Kwa hiyo Chadema wanaye mgombea tayari.?
Kiwete alishindwa mwaka 1995 miaka kumi baadaye akagombea tena, alikuwa na nini cha ziada?Mmh! Yan nyie bado mnawaza lowasa agombee? Akigombea ndo inakuwaje laabda kama alishinwa 2015 ana kip cha ziada
Post sent using JamiiForums mobile app
Zile millions za michango zilitokea huko, Luwasa alipotoka ccm naye akatoka, akarudi ccm baada kuona 'washirika wakila kibano'.....sasa kaamua kuchomoa baada kuona makinikia yamekwama bandariniKwenye hilo mnadai aliagizwa na Jakaya Kikwete ila kwenye Richmond mnadai alifanya mwenyewe! Halafu anaitwa Lowassa na siyo Luwassa. Wa wapi wewe!
Halafu Juma Mwapachu ile haikuwa kazi bali ni hadhi inayotokana na kuwa na Maslahi kwenye Acacia.
Yule alikuwa kwenye chama, alafu istoshe tukimweka akiba nyie wa kwenu nae hahaaa mnanifraishaga na iman yenu mnavoipenda chadema na kuwa na iman nayo kama ingekuwa din mngeenda peponKiwete alishindwa mwaka 1995 miaka kumi baadaye akagombea tena, alikuwa na nini cha ziada?
Mkuu aliulizwa swali jepesi tu Kama atagombea urais.Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Unaweza kukiongea hicho kiswahili tu na ukakosea kutamka neno ukatamka ndivyo sivyo we unadhani hapo kama aliongea kwwli alikuwa na maana gani??Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
"Unanionea"-lowassa!Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
Unaikumbuka ile interview yake aliyofanyiwa na kituo cha BBC/swahili?Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
What will be like when poverty is improved?!Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Tunaipenda lakini si kiuendawazimu!Yule alikuwa kwenye chama, alafu istoshe tukimweka akiba nyie wa kwenu nae hahaaa mnanifraishaga na iman yenu mnavoipenda chadema na kuwa na iman nayo kama ingekuwa din mngeenda pepon
Post sent using JamiiForums mobile app