Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther
Afadhali mumeanza kuliona hilo mapema, sisi tukisema tunaambiwa eti vibaraka wa CCM. Jamani ukweli uko wazi kabisa, Lowassa hamna kitu pale, jamaa liko tu kama zezeta vile, eti ndio liwe Rais? Hapana aisee, hatuwezi kuwa na rais kama huyu hata kidogo.
 
Ahadi ni kuwa 10days after ikulu ngurdoto kupanga maendeleo
 
Tony antony
Kero za wanawake tayari zimetatuliwa kwenye ilani ya chama. Kwa hio haya yote mbinu za chama,mtabaki kusema Lowasa ..speech fupi ila,watu wanajua wanochokitaka. Watu wamechoka na hotuba ndefu isio na utekelezaji,wanataka vitendo,mtu anaeweza kua mtendaji bora.
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

Uzinduzi wa sera bado na alienda kusikiliza matatizo Yao cio kuwaambia atawafanyia nn,
 
Kabla ya hotuba wakina Mbowe wanamkaririsha mambo meengi mengi lakini mzee wa watu akinyanyuka tu kwenda kutoa hotuba yote yana evaporate. Yanapepea. Anabakia kukumbuka aliselema halija. Hahahahaha

Jamani msiache nianze kucheka ndotoni kwakweli kipindi cha uchaguzi nitakimiss kwasababu stress zote zinakwisha nikisoma comments.
 
mkuu kama emeenda shule kidogo unaweze ukaingia kwenye mtihani haujui kitu kichwa then ukashinda mtihani
labda kama utaingia na vikaratasi,mkuu rais ambaye hata uwezo kusimama saa 1 kuongea na taifa je
je atawezaje kuhubua bunge zaidi ya masaa 3?
Je atawezaje kuhutubia kwenye mikutano ya kimataifa?

Ki ukweli hana sifa ya kuongoza taifa la wasomi kama hili wala sio kuongea tu uwezo wa akili ni mdogo sana,
Mkuu mie sipo kundi lolote ila nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti tu maana kama mtanzania hii issue ya kushindwa kuongea imekuja kuonekana hii miezi michache iliyopita mara mgonjwa mara nini, lakini miezi michache iliyopita ilikuwa ni fisadi, wakati mwingine watz tunalishwa maneno na wataalamu wa propaganda na huwa tunayabeba, uzuri siku hizi kuna mitandao yaani hata humu humu JF tuangalie kilichokuwa kina trend kwenye mitandao kama ni hiki cha mgonjwa au hajui kuongea. Mie nawaza tu kwa sauti kama maksi wewe nipe sifuri though najua utanipa hata za ku-clear tu nisurudi nyumbani mkuu kwa kuwa mtihani ni wa ku-discuss
 
Wewe mwanamama si ulikesha kwenye ule Uzi wa mkutano hata kabla lowasa hajafika huku ukikashifu na kutoa kejeli za kila namna,ningeshangaa kama ungesema umeridhika!
 
Uyu jamaa ni watu wachache sn wenye akili kubwaz tuliogundua.kwamba ni brainwashed...sasa wacha kampeni zianze asimame mwenyewe mtaona alivyo mweupe..hamna kitu pale!wengi bado hamjamfahamu ...

Tatizo hawa wenzetu wa UKAWA sio kama hawalijui hilo, wanafahamu fika kabisa, lakini kutokana na "mihemko" waliyonayo wanajifanya hawaoni. Mtazame mgombea wa CCM Dk. Magufuli; ni mchapa kazi kweli na ni muongeaji mzuri haswa. Huwezi ukamlinganisha Dk. Magufuli na huyu zezeta Lowassa, ni sawa na kulinganisha Nyumbu na Simba. Magufuli ndio rais wetu bhana, #hapakazitu
 
Mkuu mie sipo kundi lolote ila nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti tu maana kama mtanzania hii issue ya kushindwa kuongea imekuja kuonekana hii miezi michache iliyopita mara mgonjwa mara nini, lakini miezi michache iliyopita ilikuwa ni fisadi, wakati mwingine watz tunalishwa maneno na wataalamu wa propaganda na huwa tunayabeba, uzuri siku hizi kuna mitandao yaani hata humu humu JF tuangalie kilichokuwa kina trend kwenye mitandao kama ni hiki cha mgonjwa au hajui kuongea. Mie nawaza tu kwa sauti kama maksi wewe nipe sifuri though najua utanipa hata za ku-clear tu nisurudi nyumbani mkuu kwa kuwa mtihani ni wa ku-discuss

mimi lowasa ni mbunge wangu miaka 6
namjua kuriko wewe unaekutana nae kwenye mitandao,
swali kwanini amekaa kimia miaka 7 bungeni?
ufisadi wala ccm hawajawai kumsema waliomsema ni cdm slaa mwembeyanga na mnyika na slaa uchanguzi wa 2010,
ki ukwel hawezi ungojwa wake umaishamuweka sehemu ambayo hawezi kuongoza taifa la wasomi kama hili,
je ataongea nini na wasomi?
tatizo sio kuongea ubongo wake unamatatizo


 
Kiu yenu wote itamalizwa jmosi Jangwani pale itatolewa ilani na mipango yote ya chama kwa kinamama Queen Esther
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hawa wenzetu wa UKAWA sio kama hawalijui hilo, wanafahamu fika kabisa, lakini kutokana na "mihemko" waliyonayo wanajifanya hawaoni. Mtazame mgombea wa CCM Dk. Magufuli; ni mchapa kazi kweli na ni muongeaji mzuri haswa. Huwezi ukamlinganisha Dk. Magufuli na huyu zezeta Lowassa, ni sawa na kulinganisha Nyumbu na Simba. Magufuli ndio rais wetu bhana, #hapakazitu

mkuu nasema hivi kama lowasa anaweza kuongoza taifa hili tuvunje vyuo tujenge mabanda ya kuku ,wasubili kwenye midahalo watamkimbia,
 
Lowassa sio mwongeaji,hata anapokua anaomba kura monduli,ndivyo alivyo.

Hali hii ndivyo mungu alivyompa kila mja wake na kipaji chake. Lowassa na wengi wa aina yake sio waongeaji sana ila hutenda kile wanachokisema na kwa asilimia 80 na zaidi ni watendaji wazuri sana kuliko wale wenye kelele nyingi. Ukimleta kwenye kujieleza au kutoa hotuba na machapisho ni wazuri sana. Kundi jingine ni wenye uwezo wa kujieleza kwa maneno na misamiati ambayo mingine wala haipo.Ni wazuri sana kwa maneno ya kuhutubia, kuaminisha tena kwa mifano mingi lakini mara nyingi kama sio zote hawaamini na hawatekelezi kadri ya tambo zao.Yote hayo ni maumbile na vipawa vya kila mmoja na mifano ni mingi hata kwa maprofesa. Yupo unaeweza kumsikiliza ukajiuliza uprofesa wake ni wa halali? Mlete kwenye maandishi ndio utayaona maajabu yake na uwezo/uelewa wake.
 
Kiu yenu wote itamalizwa jmosi Jangwani pale itatolewa ilani na mipango yote ya chama kwa kinamama Queen Esther

hiyo ilani ataitangaza nani? mnachekesha nyie jipange vizuri hatutaki maingizo ya kupanda daladala tunataka sera tena sera za viwango ,akili yenye kuchambua mambo na wasomi wakaelewa basi viongozi wa kuongozwa na marafiki na wake zao mwisho sio wakati wao,
 
Hali hii ndivyo mungu alivyompa kila mja wake na kipaji chake. Lowassa na wengi wa aina yake sio waongeaji sana ila hutenda kile wanachokisema na kwa asilimia 80 na zaidi ni watendaji wazuri sana kuliko wale wenye kelele nyingi. Ukimleta kwenye kujieleza au kutoa hotuba na machapisho ni wazuri sana. Kundi jingine ni wenye uwezo wa kujieleza kwa maneno na misamiati ambayo mingine wala haipo.Ni wazuri sana kwa maneno ya kuhutubia, kuaminisha tena kwa mifano mingi lakini mara nyingi kama sio zote hawaamini na hawatekelezi kadri ya tambo zao.Yote hayo ni maumbile na vipawa vya kila mmoja na mifano ni mingi hata kwa maprofesa. Yupo unaeweza kumsikiliza ukajiuliza uprofesa wake ni wa halali? Mlete kwenye maandishi ndio utayaona maajabu yake na uwezo/uelewa wake.

tatizo lako wewe umeanza kumjua lowasa baada ya kununuliwa ili umfanyie kampain kwenye mitandao au wewe ni wajana katika taifa hili

nakutuma

katafute hotuba yake ya kujiuzuru uwaziri mkuu ndo utajua lowasa sio msemaji au anaumwa?
achana na mungu yeye alijikita kwenye kuwapa sumu washindani wake kisiasa na yeye mungu amempa kiarusi chake ahangaike nacho ,malipo ni hapahapa duniani,

 
Munapenda maneno mengi ndiyo maana nchi iko hivi. Jesus alisema maneno yenu ya we ndiyo au hapana mengi yanatoka kwa ibilisi.

Wewe ndio kilaza kweli, hata Wamarekani wana maneno mengi sana, lakini wamepiga hatua kubwa sana. Siasa ni vitendo na maneno. Siasa bila maneno sio siasa hiyo. Kweli nimeamini UKAWA wengi wenu hamna kitu kabisa vichwani.
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

Nasikitika sana Esther kwa kuwa Mdee hakukuona wewe gamba ulivyojichanganya na kutumbukia ukumbini. Naelewa lazima ulaumu kwani ulidhani mnaitwa kwenda kugaiwa bahasha pale. Ukawa hatuna sera hiyo. Sisi tukiitana ni kwenda kugawana majukumu. Subiri kesho uandike upuuzi mwingine uwahi Lumumba ukachukue buku tano yako. Kwa leo lalia ngumi kutakucha tu na jitahidi kuanzisha hata mama lishe mradi wa Lumumba unaenda ukingoni muda mfupi ujao.
 
Ninyi mmeahidi zaidi ya miaka 50 hamtekelezi,magufuli mda wote ni kuiponda serikali ya kikwete,wanamchi wanalalamika,viongozi wa ccm wanalalamika,kweli??? aibuu,mnaahidi msichokijua,tumesubili maisha bora kwa kila mtanzania tumeishia bora maisha kwa kila mtanzania,ccm gari bovu hamfai hata kuongoza ubalozi wa nyumba kumi
Wewe ulikaa miaka yote bila kufanyakazi ukisubiria maisha bora kutoka CCM???? Maisha bora unayatafuta mwenyewe kwa akili zako na juhudi zako. Watu wote wenye juhudi wamefanikiwa. Wewe endelea kunywa viroba subiria Lowassa na mke wake watakuletea maisha bora.
 
Je akiingia madarakani ataweza kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi kwa muda mrefu?
 
Mkutano ulimaanisha kumtambulisha "First Lady" wa mgombea wa CHADEMA. kwa vyovyote vile naye alipaswa kumtambulisha mumewe ambaye ndiye mgombea uraisi. Ndiyo maana Lowassa hakutoa hutoba yoyote ile zaidi ya salamu tu.

Walisema lowassa ataongea na wanawake wa mkoa wa dsm
 
Back
Top Bottom