Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Hata wale ambao si waongeaji sana angalau atatoa point za msingi zinazohusiana na ajenda! No offense ila UKAWA mnayo kazi ya kufanya!
Walichokosea hawakuweka hasa ajenda ya mwito nini?Hawakujua hasa Lowassa anataka nini?Wazoefu wakuongea ndiyo wanatakiwa muda mwingi wawe msaada kwake.Na pia wahakikishe wanampa point za kuongea. Kwa sasa yupo overexited kiasi kwamba akiona watu wengi anashindwa kuongea.Ni state anayotakiwa kutoka mapema asipostuka atachelewa.
Ni bora ungekuwa mkutano ulioitwa na mkewe halafu yeye aende tu kama msikikizaji na si muongeaje.
Nakubakiana nawe inahitajika nguvu ya ziada na ya haraka kama kweli wanataka kushinda.