KIWULUNGE
Member
- Jul 29, 2015
- 12
- 8
Wanawake wa Tz ni wa ajabu sana. CCM wanataka Samia awe makamu wa rais, ACT wanataka Anna awe raisi. Kwenye hotuba zao walikuwa wanaelezea changamoto na kwamba hawataki nafasi za kupewa bali zenye maamuzi. Hivi ni kwa nini hawakuwaita Samia na Anna wawaeleze matatizo yao na kwamba hawa akina mama wakiingia madarakani wazishughulikie ? Mimi hapo sijawaelewa, hivi watapevuka lini ? Halafu ni watu wasomi, kweli pesa zinamatatizo lakini wasijidharaulishe kiasi hicho. Mnamsomea risala Reina ati akamwambie mmewe, yaani nimechoka ile mbaya !!