Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Wewe ulikaa miaka yote bila kufanyakazi ukisubiria maisha bora kutoka CCM???? Maisha bora unayatafuta mwenyewe kwa akili zako na juhudi zako. Watu wote wenye juhudi wamefanikiwa. Wewe endelea kunywa viroba subiria Lowassa na mke wake watakuletea maisha bora.

Nyie mkiongozwa na mkapa matusi kwenda mbele,mmepanic
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

kampeni na ilani yake zinafung
uliwa rasmi pale jangwani tarehe 29 mwez huu. hapo ndio atatoa mkakati wake. pale aliwaita kuomba tafu la akina mama kwenye kampeni zake. Msioelewa poleni mtaelewa. Kwani ilani yake umeisikia popote?

Mlizoea mgombea aludiludie mada iliyowekwa mezani. mkewe alishasema matatizo yote. sasa ulitaka na yeye aludie. WALISHAJIPANGA. Tatizo mmezoea nkampeni za kiccm mke wa mgombea anafichwa kapuni kwanza akifundishwa kuongea na mass. Pale milenium si ulimuona first lady mtarajiwa alivyojinadi kwa mambo ya kinamama. Ile ni kwa niaba ya Lowasa kama hujui
 
Nimeona briefing siyo siri hiki ni choose cha shimo ..anatuma wanawake wamsaidie yaani jamaa ni mzigo kusema kweli
 
Alivyo anza kuongea alisema hayo mambo yote ya wanawake waliyoyasema ameyasikia, na yatakuwa kwenye ilani, ila yeye kuna kazi anataka kuwapa wanawake. Tatizo wabongo mnapenda kupigwa sound na kudanganywa kama alivyo kuwa anawafunga kamba Jk mnashangilia..
 
Aliwaitia nini wale kina mama kama siyo kuwapotezea tu muda. Kaongea kwa dakika tisa tu, tena hakuna cha maana alichozungumza shame on you mamvi
 
Nadhani umemsikiliza mama Regina Lowasa alivyotoa hotuba ya changamoto za wanawake, Lowasa kamwachia mkewe ajimwage yeye kawapa kazi moja wanawake ya kumtafutia kura

Tangazo la mkutano alilolitoa Halima Mdee halikuwa linahusu Regina Lowassa anaenda kuongea kina Mama.
Lilikuwa la mshua mwenyewe na ikatangazwa kuwa ataongea na kina mama wa Tz live.
Hicho alichokiengea live ndo kinaangaliwa hapa.
 
Sasa kamanda mwenzangu wapiga kura watapataje kujua sera zake.....inabidi viongozi wa Ukawa wawe makini na Hilo....

Hapo kaka inabidi wahusika wapate ujumbe kwamba mgombea wao si muongeaji,na hawezi kushika hadira vyema.Kusema wa haki sijawahi kumsikia akiongea hata alipokuwa CCM zaidi ya kutoa ORDER tu.
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

Zungumza alicho kisema.
 
Aliwaitia nini wale kina mama kama siyo kuwapotezea tu muda. Kaongea kwa dakika tisa tu, tena hakuna cha maana alichozungumza shame on you mamvi

Pole ile ilikuwa inside Campaign,na Mama Lowassa alikuwa anamuombea KURA mumewe kwa wanawake wenzie.Upo?
 
Lowassa katuangusha makamanda...kweli nimeamini kauli ya kamanda Mbowe...Lowassa ni bubu...
 
Tatizo lako wew mtoa mada ulijua unaenda kupakatwa ndo maana unasema haujakidhiwa.

Lowassa ni mgombea Urais. bado siku 60 kabla ya uchaguzi mkuu. katika kipindi hiki mgombea yeyote anawaza na kushawishi namna ya kupata kura. mzee kawaambia mumpigie kura na mumtafutie nyingine kutoka kwa ndugu na jamaa zenu. what's wrong with that?
 
Sasa wewe mpendwa GREAT THINKER umeamua kutukana wanawake.

Badala ya kujibu hoja umekuja na VIROJA.

Umesahau kuwa madada poa wote walitambulishwa ukumbini. Una maana walienda pale kupakatwa Kama unavyodai hapa chini.

Shame on you. Badala ya kuleta ushawishi unatukana wanawake tunapakatwa!!!!!!!! I hate you with perfect hatred.

Queen Esther

Tatizo lako wew mtoa mada ulijua unaenda kupakatwa ndo maana haujakidhiwa.

Lowassa ni mgombea Urais. bado siku 60 kabla ya uchaguzi mkuu. katika kipindi hiki mgombea yeyote anawaza na kushawishi namna ya kupata kura. mzee kawaambia mumpigie kura na mumtafutie nyingine kutoka kwa ndugu na jamaa zenu. what's wrong with that?
 
Tangazo la mkutano alilolitoa Halima Mdee halikuwa linahusu Regina Lowassa anaenda kuongea kina Mama.
Lilikuwa la mshua mwenyewe na ikatangazwa kuwa ataongea na kina mama wa Tz live.
Hicho alichokiengea live ndo kinaangaliwa hapa.

Kwani Lowasa hakuongea? au ulitaka aongee nini pale?
 
Huyo mdee si alitangaza kuwa edo ndio mgeni rasmi kwa kifupi hakuna jipya zaidi ya mipasho utawafuata hata chekechea mpate kura


Wee mmang'ati wa endasak... 👇👇

Jua taratibu na sheria za uchaguzi...

Lowassa haruhusiwi kuhutubia, sbb KAMPENI ZA UKAWA hazijafunguliwa rasmi... ni kosa kisheria kuhutubia na kunadi sera wakati KAMPENI RASMI za UKAWA bado haijafunguliwa... ingawa NEC washatoa green light...!!

Sijui umeelewa..!? Maana wamang'ati inabidi urudie rudie na kurudia tena ndio muelewe...!!!


Personal...👇👇👇👇👇👇👇

Anyway bado mnavaa ngozi...? Siku hizi
mko Endasaki hadi Haydom au Hanang..

Kuna mwanamke mmoja wa kimang'ati... alikuwa anakaa Mto wa Mbu, nilipitia pale miaka kama 9 iliyopita nikaa Mto wa Mbu for a week...!! Alikuwa na jina gumu, alikuwa na miaka kama 21 wakati ule... sasa tumepotezana hana simu.. daaah wee acha tu... siku moja nitaenda mto wa mbu tena.. naapa nitazunguka hadi nimpate....siwezi hadithia...alikuwa kama mzungu, macho kama mwarabu..uso kama msomali... sura kama Mzungu,.mwarabu, msomali, nywele kama Mwarabu... pua, ngozi, daah... kama malaika aisee... nahisi Wazungu au watalii watakuwa washamchukua... Mungu anaumba jamniiiii....👏👏 Roho inaniuma sana...yaani...akicheka tu..moyo wanienda mbio mbio... Daaah...watu wa huko bana... Karatu, Mbulu, Hanang, Babati... lol... watu wa huko ni warembo kupita maelezo aisee...!!! yaani...💋

Lucy... ww ni wa wapi..!? samahani lkn..!!

Kama ni mmang'ati niambie bibie...

👏👏💑💑
 
Unakumbuka kazi aliyokuwa anaifanya Salma Kikwete mwaka 2010 au unajitoa ufahamu kwa sababu ya mahaba yako kwa ccm? Hivi unajuwa nguvu ya ushawishi ya firstlady kwa wanawake wenzie? Au kwa sababu umeambiwa Lowasa atawahutubia wanawake basi ukudhani Lowasa ndiye mzungumzaji pekee. Mamvi yuko kimkakati mtapata shida sana
Mikakati gani, ndo mantuludishia mambo ya Familia kuongoza Nchi. CCM ishatoka huko.
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

Tatizo lako hukuwa makini, majibu ya maswali yote unayouliza hapa yalijibiwa na First Lady
 
Katumia dakika 8 tu. kwa hiyo kamaliza haraka? Hajakidhi kiu? Hatoshi, au vipi?
 
Wewe utakuwa huijui Katiba ya JMT. Wapi pameainishwa kazi za First Lady???

Madame Regina mwenyewe kasema namwachia mume wangu atoe kiu yenu. Mbona tumeondoka na kiu yetu????

Queen Esther


Kiu gani mama mbona umekazania kiu? mwanaume 1 atakataje kiu ya wanawake 200?
 
Back
Top Bottom