hv unadhani kuzungumza pekee inatosha? ata kama angezungumza mipango na michakato yote juu ya ukombozi wa kinamama na wote mngetoka mmefurah bt yote yangebaki kama story anazopiga m2 na mkewe chumbani bt 2kitaka kweli wanawake wa tanzania wakomboke na uharamia huu na ahadi za uongo wa wanasiasa au kupewa viti maalum bungen yote hayo ni danganya toto tu ukiangalia wanaofaidika na fursa hyo ni wachache sana bt kama leo wanawake wa tanzania wangejua ni ktba ya warioba ndo ilikuwa mkombozi wao na c lowassa au magufuli na samia leo hata mtu akija akasema kuanzia leo wakinamama mtapata hiki na hiki au mtakuwa hv au 2tawafanyia hv bt kama hakuna strong institution ambayo ni katiba na mambo yote yanayowahusu yakaweka humo ata aje ccm,cuf,chadema,act watawale wanawake wa tanzania watakuwa haki zao vko vlevle badala ya kusubilia huruma ya wanaume ndo wafanikiwe ktk mambo yao