mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Mtu kauza nyumba za serikali, nenda Masaki yote nyumba ni za watu binafsi.Unataka ushahidi upi tena wakati mwanzoni zilikuwa za serikali!!
Mentality yako inaonesha jinsi gani ulivyokubaliana na madudu ya CCM.
Sad!!!
Najua wanajamvi wengine hawatanielewa,ila nachokisema ni kwamba, Lowassa ajiandae kisaikolojia maana mpaka sasa hivi ccm wamekaa kimya wakipanga first eleven, CCM ni bingwa mzoefu, CCM ni watu wa offside, CCM ni watu wa fitina, najaribu kutafakari kwa kina kwamba, Lowassa akitangazwa ameshindwa, je atakubali kushindwa au ndio vurugu zitaanzia hapo?
Je, vurugu hizo zitakuwa na tija kwetu?
Ndio maana nasema Lowassa jiandae kisaikolojia kwani utafungwa kwa gori la offside kwasababu marefarii wasaidizi ni wa kwao na refa wa kati ni wa kwao.siongei kiushabiki maana ushindi hauanzii ndani bali na nje!
Kwa upande wa pili CCM na nyie mjiandae kisaikolojia maana ukawa wanacheza sana na akili za watu na kutafuta majority hivyo endapo wananchi watajitokeza kwa wingi kupiga kura kama walivyojitokeza kujiandikisha basi kuna uwezekano mkubwa UKAWA kushinda.
Jambo jingine nawaasa wanasiasa kwamba tuache siasa za kupakana matope kwani wananchi bado tunahoji?
Tumeupenda upinzani kwa kuikosoa serikali na kuwaumbua wala rushwa wakubwa nchini akiwemo mh. Lowassa.
kwa pamoja bunge liliadhimia kumuondoa waziri mkuu kwa kuitumia vibaya ofisi....je nyie wapinzani mtatueleza nini watanzania ili tuwaelewe?
Leo Lowassa msafi, kesho Chenge msafi, kesho kutwa akina Muhongo na akina Kalamagi watakuwa wasafi endapo watapata fursa kuhamia CHADEMA.
Je, mnapozunguka mtaani kutueleza kwamba Magufuli ameuza nyumba mna ushahidi? Na kama mna ushahidi si mpeleke mahakamani?
Acheni siasa taka wananchi tunaelewa!
Ndugu yangu NAKUPENDA kupita maelezo. ili kumaliza UTATA unaonaje UKIACHANA na huyo Mkeo uje UNIOE upya na mimi hasa ukizangatia kuwa sasa natafuta Mume wa KUNIOA? Yaani kila UNAPOKWENDA nipo na nadhani hata nikiwa USINGIZINI huwa NAKUOTA sana na nikiona tu post yako NATEKENYEKA!
[/QUOTE]Ndugu Mbowe,
Mmeangaika kwa kipindi kirefu kukijenga Chadema, lakini umekiuza. Umekibomoa chama na kuingia kwenye mitego ya CCM ambayo mmekwepa kwa muda mrefu.
Kutokana na dharura iliyopo, napenda niwataarifu kwamba, Tumeshirikiana kwa kipindi kirefu, tangu 2010, na lengo kubwa limekuwa ni kulisaidia chama chenu kikue. Tumeweka maisha yetu hatarini kwa ajili yenu ili ukombozi upatikane. Kwa kifupi wengi ndani ya TISS wamechukizwa na uamuzi huu, siyo wa kumkaribisha Lowassa, bali wa kumpa nafasi kwenye Urais, na bila shaka wataungana na Magufuli. Zitto alipowekwa, tuliwaambia na ushahidi, na mkakinusuru CHADEMA. Kila mara tunawapa nyaraka na ushahidi mwingi. Kwa nini mmetupuuza?
Chadema mmeonekana kama wasaliti na watu wanaotafuta madaraka kama lowassa. Hasa Mbowe, bila kuangalia maslahi ya umma.Dr. Slaa aliogopwa zaidi na watawala
Hivi sasa chama tawala kina fanya mikakati mizito kumzuia Lowassa kugombea. Kabla ya Dodoma, kuna wanasheria na Makachero toka TISS waliwekwa kukusanya ushahidi kutoka ndani na je ya nchi, dhidi ya Lowassa, Rostam, Karamagi na Chenge. Na kwa taarifa yenu Apson anafanya kazi ya TISS siyo ya Lowassa. Chama inashirikiana na Serikali za Uingereza na Marekani kuonyesha uchafu wa Lowassa. Zaidi ya yote, wana ushahidi mwingi sana wa kimaandishi, sauti na video kumuonyesha Lowassa akigawa Rushwa na kufanya kampeni kabla ya muda muhafaka.Kwa kifupi, ushaidi tuliouona, Lowassa atazuiliwa na mahakama.
Kikao cha Jana usiku ambayo Rais Kikwete alishiriki kupitia Skype imedhamiria kutumia vyombe vya dola na vya habari kumuanika Lowassa na uchafu wake. Kwa maana hiyo Lowassa haendi kokote. Mkimisimamisha mmekwisha. Wasiwasi wa CCM ilikuwa ni Dr. Slaa na siyo Lowassa. Lowassa ana fedha nyingi sana nje ya nchi hadi na biashara haramu. Account zote zimeshapatika. Rostam anafanya kazi nzito, na hawa wote wanakuja kuunganishwa na Chadema pamoja na Mbowe.
Kadhalika kuna watu wengi sana kutoka CCM ambao wanakuja kuisambaratisha chama Chenu. CCM walijua wazi kabisa kwamba Dr. Slaa asingekubali uchafu wa Lowassa na angejiuzulu Lowassa akikaribishwa na kundi lake la Mafisadi. Hi imeshatokea, kwa maana kwamba CCM wana taarifa za Dr. Slaa kujiuzulu ingawa hawana uhakika. Kazi kwenu ila mkipuuza huu ushauri hamna chenu.