Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Kweli wewe mwehu!!! Huo ulikuwa mchakato wa ndani ya CCM... UKAWA na CCM ni entity mbili tofauti kabisa... Waulize wabobezi wa sharia watakudadavulia vema zaidi ...
 
Tangu Lowasa aingie CDM sijawahi ona akifanya kampeni. Ila nimemuona Magufuli akizifanya kiaina. Labda ungetutaarifu ya kuwa CCM wanataka kumkata Dr. Magufuli wetu.
 
Kama ni kweli basi wameamua kuiingiza nchi kwenye machafuko kiraisi kabisa!ndiyo tatizo la vyombo ya usalama kujiingiza kwenye siasa!
1994 baadhi ya maafisa usalama nchini Rwanda walikuwa wanashabikia siasa za kibaguzi za wahutu na baadhi yao wakuwa wanashabikia siasa za kibaguzi za kitutsi,matokeo yake hapakuwepo maafisa usalama waliokuwa wanalinda maslahi ya taifa,nchi ikaingia kwenye machafuko ambayo mbaka leo ni historia!
Mbinu za kijinga za kutaka ushindi wa mezani unaweza kuliangamiza taifa letu,tafadhari tuungane kwa pamoja kulinda maslahi ya nchi!
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowasa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini. Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowasa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowasa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea uraisi wa CCM. Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa. KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????

Wehu wapo wengi mno JF, tangu Lowassa ajitoe CCM wameongezeka utafikiri wamerogwa na Nape. Huyu Lowassa atatuongezea vijana wetu wa lumumba wawe majizi.
 
Hizo kampeni alianza akiwa ccm au chadema?
Sababu ni kampeni wakati akiwa CCM sio UKAWA. Ni hivi. Wanaoratibu huu mpango tayari wamesema kuwa sababu moja wapo ya kumkata Lowasa kwenye kinyang'anyiro cha CCM ni yeye kuanza kampeni mapema. Kwa mujibu wa chanzo hiki, walimkata wakijua kuwa upinzani wangemshitaki kwenye tume ya uchaguzi kama jina lingepita. KWaiyo wanatumia muda ule akiwa CCM. Mwenye akili ataona kuwa CCM wanayo kesi hapa ingawa inaweza kuleta machafuko nchini kumkata mtu huyohuyo mara mbili.
 
katiba haitambui kuhama chama hivyo kama kweli wanaushahidi unaweza tumika despite yuko ccm
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowasa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini. Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowasa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowasa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea uraisi wa CCM. Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa. KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????
Tumia akili kidogo. Hoja nyingine ungekuwa mmambia nyie wenyewe ili mfurahishe nafsi zenu.
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowasa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini. Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowasa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowasa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea uraisi wa CCM. Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa. KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????



Afe Ng'0mbe, Afe Mmasai. Lowassa lazma aingie Ikulu.
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowasa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini. Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowasa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowasa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea uraisi wa CCM. Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa. KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????

That's absurdity! Absolute frivolous! Hivi alichofanya Lowasa na anachofanya Magufuri tofauti yake ni nini? Kwakweli inahitaji common sense tu ya tume ya uchaguzi kung'amua hili.Unaposikia political torelance ni pamoja na tume kutupilia mbali tuhuma kama hizi za CCM. Maana kama sheria ingesimama kama inavyostahili,kuna rough nyingi sana zinachezwa na CCM lakini mamlaka zina jifanya kutoona.Pia Ukawa wana timu imara ya sheria,hopefully they can withstand any waves!
God Bless Tanzania.
 
Wazo lako si la kupuuzwa mkuu, sasa kama ccm hawawezi kuzuia mafuriko ya lowasa wanaweza kufanya chochote. Mungu na uwaangamize mapema wale wote walio na nia ya kuvuruga amani kwa uchu wa madaraka
 
KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????
regardless uhalali wa ulichoandika lakini hii senyensi yako ni muhimu sana na ingelikuwa kila Mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuisoma basi ungelikuwa ushindi.

 
Back
Top Bottom