Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Wote mnaoshabikia CCM mmelogwa. Nakubaliana na mwanasiasa aliesema tunahitaji hospitali ya waliologeka . Mimi nasema...tunahitaji hospitali ya maCCM!

Wewe unaemshabikia lowasa kisa yuko chadema hata chama chenyewe hakijui ndo umelogwa tena aliekuloga keshakufa lowasa kakaa ccm muda gani na ufisadi wote ulotokea kwenye inchi hii ulishawahi kumsikia kaukemeaa katiba mpya chadema waliondoka yeye aliondoka yule ni ccm damu chadema kafata uraisi tu na akishindwa sijui itakuaje!
 
CCM siyo sufuria ni chama na chama ni watu akiwemo Lowasa. Kama CCM ni chafu nae Lowasa ni mchafu bila shaka na hawezi takata kwa kuhamia CHADEMA. Tatizo watanzania ni wepesi wa kuyumbishwa sana na mara nyingi hushabikia vitu bila tahadhari na kujiuliza mambo maswali magumu. Poleni sana. Huu ushabiki mliufanya 2005 mnataka kuurudia tena then mje mlalamike kina Rostam wakianza kupiga bingo kwenye GAS? Mmesahau hata kina Karamagi waliojigawia bandari yetu kwa miaka 25 wako nyuma ya huyu? Habu fikirieni kwanza.
YÃ-ani kazi ipo!! Wewe huelewi nini!? Lowasa ataongozww na sera za UKAWA hivyo utumbo huu futa akilini kwako!
 
Wewe unaemshabikia lowasa kisa yuko chadema hata chama chenyewe hakijui ndo umelogwa tena aliekuloga keshakufa lowasa kakaa ccm muda gani na ufisadi wote ulotokea kwenye inchi hii ulishawahi kumsikia kaukemeaa katiba mpya chadema waliondoka yeye aliondoka yule ni ccm damu chadema kafata uraisi tu na akishindwa sijui itakuaje!

Hatakuwa wa kwanza kushindwa...Mrema pia alitoka akashindwa mara tatu akamua kurudi CCM. Kwenye kugombea urais kuna kushinda na kushindwa hakuna draw, na ushindi unaweza lazimishwa... Kamuulize Seif.
 
Yani hata mfanyeje mi napenda kuwaambia kuwa bila sisi kuomba sana kwa mwenyezi Mungu basi Tanzania itakuwa chini ya freemason na hii ni kweli we ona watu wanavyomkubali lowassa yani tumeshaingiwa na pepo mbaya sasa
 
Kama ni hivyo basi TISS in wanafiki wakubwa. Kwanini hawakutafuta ushahidi alipokuwa CCM? Mtahangaika sana mwaka huu
 
Naungana na Dr Slaa kukataa huo uchafu walioukaribisha kwenye chama chetu. Sisi wanachama waadilifu wa chadema tunajadiliana kufungua kesi mahakamani kumzuia lowasa kugombea urais kwa tiketi ya chama chetu.
 
Dr Slaa anaendeshwa sana na mwanamke wake...Dr Slaa umeonyesha udhaifu mkubwaaa sana..Ni bora hujapewa Ikulu maana ungeongoza nchi kutoka bedroom
 
Naungana na Dr Slaa kukataa huo uchafu walioukaribisha kwenye chama chetu. Sisi wanachama waadilifu wa chadema tunajadiliana kufungua kesi mahakamani kumzuia lowasa kugombea urais kwa tiketi ya chama chetu.

chama chenu?
 
kama tukimkataa Lowasa kwa sababu ni mchafu basi hata akitubu Mungu hatamkubali,hakuna njia nyingine ya kuondoa hawa majambazi madarakani tusipomkubali Lowasa,nawahakikishia ccm itashinda uchaguzi mkuu kama kawaida na itatawala tena miaka kumi na Magufuli atafanya kazi na walewale maana hawana jipya,Lowasa atatusaidia kuiondoa ccm halafu tugeukiane baada ya ccm kuzikwa,hapo ndiyo tutaona njia
poleni.
 
propaganda,ila zikiamza kampeni wote mtakimbia humu
 
Huna unachokijua na Kazi ya hao jamaa ni ya KUTUKUKA ndani na nje ya nchi. Vinginevyo wasingekubalika sana Israel, China, Uingereza na Marekani hadi wanaamua kufanya exchange programs na TISS. Hivi mzungu huwa anamkubali mwafrika tu mjinga mjinga? Chezea IDARA au TAASISI zote hapa Tanzania ila IHESHIMU TISS.

sawa nakubali, lkn kuna majukum wamejipa hata hawayawezi kamwe, maana kama wangekuwa wanaweza wasingekubali taifa kuhujumiwa kiasi hiki wakakaa kimya. kuna kazi wameweza lkn nyingi pia za kizalendo wameshindwa
 
CCM mbona mnalialia? mmejipangaje? ndooooooorobo nyie, hivi kwanini hamjisikitikii wenyewe mmekaa tu kumpa promo Lowasa? hivi mnashindwa kuelewa kuwa kadri unavyomsema mtu wether for good or for bad ni kumpa umaarufu tayari, jipangene na ushauri wako hamna mashiko maana tayari kuna ambao wameongea direct na Mbowe kwa kumpa ushauri zaidi wa huu lakini waliambulia patupu tokea lini mkawa na nia njema na cdm?
 
yani hata mfanyeje mi napenda kuwaambia kuwa bila sisi kuomba sana kwa mwenyezi mungu basi tanzania itakuwa chini ya freemason na hii ni kweli we ona watu wanavyomkubali lowassa yani tumeshaingiwa na pepo mbaya sasa

hata mm nimeliona hilo,kiukweli tuongeze bidii kuomba kwa mwenyezi mungu atuepushe na freemason maana naona speed yake inazidi kutufanya misukule.
 
Teh maccm bana, kwa hiyo mmemsahau kumpigia madebe magufuli na mmeanza kumnadi lowassa humu.
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowassa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini.

Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowassa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowassa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea urais wa CCM.

Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa.

Kwa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first.

UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini.

ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI?
 
Back
Top Bottom